Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Charles Mwanziva amekula kiapo cha uongozi kwa nafasi ya Mkuu wa Wilaya mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka leo tarehe 30 Januari, 2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe.
Mhe. Victoria Charles Mwanziva aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa mnamo tarehe 25-Januari-2023
Katika hotuba yake ya kwanza baada ya uapisho Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe Victoria Charles Mwanziva amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kushirikiana na viongozi mbalimbali wa Ludewa kusimamia mipango ya maendeleo.
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe Victoria Charles Mwanziva amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka, amewashukuru viongozi wote waliohudhuria zoezi la uapisho na kwa mapokezi mazuri waliyoonesha kwake
“Ludewa ya Utalii, Uchumi wa Chuma kwa maendeleo yetu”
#LudewaYetu
#LudewaYaSamia
#UongoziShirikishi
#KaziIendelee
Mhe. Victoria Charles Mwanziva aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa mnamo tarehe 25-Januari-2023
Katika hotuba yake ya kwanza baada ya uapisho Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe Victoria Charles Mwanziva amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumpa nafasi ya kushirikiana na viongozi mbalimbali wa Ludewa kusimamia mipango ya maendeleo.
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe Victoria Charles Mwanziva amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka, amewashukuru viongozi wote waliohudhuria zoezi la uapisho na kwa mapokezi mazuri waliyoonesha kwake
“Ludewa ya Utalii, Uchumi wa Chuma kwa maendeleo yetu”
#LudewaYetu
#LudewaYaSamia
#UongoziShirikishi
#KaziIendelee