Katika hali ya kufurahisha na kuchekesha pia wanafunzi watoro wafuatwa kwa bodaboda ya mwalimu mmoja baada ya mwingine na kucharazwa viboko walipofikishwa shuleni
hawa ndio aina ya waalimu tunaowata wenye moyo na uchungu kwa kazi yao au mnasemaje wadau?
acha walimu wawashughulikie hao watoto na kuwarejesha kwenye mstari unaostahili. Enzi zetu mwanafunzi hawezi vaa kata K, muziki atakao kutana nao akienda shule hatasahau