Hahahaaa mapenzi na changudoa

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Mapenzi na wadada wanaojiuza ni hatari sana, si hatari kwa maana utapata maambukizi la hasha bali ni mapenzi yanaboa kupita maelezo.
Ukikutana nae anatazma pesa tu mfukoni wala hana hisia na wewe.
Mkiwa faragha ni;
1.Hakuna foreplay
2. Hakuna kunyonywa dushelele
3. Hakuna kugegedana bila kondomu.
4. Hakuna kuchelewa maana anawahi vichwa vingine. Ni chap chap.
5. Hakuna denda.
Ni mapenzi ya ajabu sana.
 
Huna tuu hela

Ukitoa ofa mbona huduma yyte unapata

Ujitahid kuweka pesa mingi mkuu
 

Hahahaha
 
Labda walikuona school kid unawapotezea muda, anyways unapoenda pale foreplay ya nn wakati mashine inakuwa ishakoki kidole kiko kwenye trigger inasubiria ku-fire. Tena kuna wengine ukiwachukua wanakuambia ukiongeza dau kidogo mambo ni mpaka mawio sasa wengine tunakuaga na haraka ya kurudi kwa mother house ndio maana hatutaki muda mrefu, na pia kama unataka muda mrefu si utafute mchepuko wa kummiliki
 
WAMEBANWA SIKU HIZI HUKO VIWANJA VYAO,WAMEJAA KWENYE MASALOON YAKIKE
 
Hatari sana mkuu wengine wakati unagegeda wanaongea na simu mwingine anakwambia fanya haraka yaan ni shida tupu bora tu ubaki na mama yoyo akikunyima unapiga moyo konde unajua kesho ipo hawezi kukatalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…