Mr Mikazo
JF-Expert Member
- May 26, 2016
- 1,594
- 800
*Babu*: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
*Mjukuu*:Niambie babu
*Babu*:Kwenye vita ya kagera tulienda sehemu tukakamatwa wote askari na maadui wakatuambia chagueni kuuliwa au kubakwa.
*Mjukuu*:Sasa babu wewe ulichagua nn?
*Babu*:Niliuliwa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
*Mjukuu*:Niambie babu
*Babu*:Kwenye vita ya kagera tulienda sehemu tukakamatwa wote askari na maadui wakatuambia chagueni kuuliwa au kubakwa.
*Mjukuu*:Sasa babu wewe ulichagua nn?
*Babu*:Niliuliwa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]