Hapo kilichobaadilika ni rangi na jina official la chama lakini vyote ni CCM.Mjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.
Watanzania wana imani kubwa sana na CCM Ndio maana wanaendelea kumiminika na kuingia ndani ya CCM. Upinzani watabakia wasio jitambua tu.Nchi ngumu Sana 😂😂😂
Ni mpango wa CCM kufanya watanzania wote kuwa matapeli na wezi.Nafikiri Watanzania tumezaliwa na damu za UTAPELI...... Huu ni utapeli wa kisiasa.
Karibu Doreen M. Makonda, utalelewa vizuri zaidi.Mjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.
Maokoto kule kukameMjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.
Hakuna na kingine kwa mzeeAisee, kwamba akili ya Hayati Mrema was sexually transmitted to mama mjane
Inakufaje wkt ww bado hujafa??? Siku ukifa ww na chadema itakufa rasmiChadema imekufa rasmi
Angeenda CHADOMO ndio magego yako yote tungeyaona na ungepongeza piaNafikiri Watanzania tumezaliwa na damu za UTAPELI...... Huu ni utapeli wa kisiasa.