Pre GE2025 Hai: Mjane wa Lyatonga Mrema aenda CCM, adai amerejea nyumbani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nchi ngumu Sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Seems Sukumar gang haikuridhika na siasa ya Mama Samia ya kuachana na Ile Biashara ya ununuzi wa watu kwa visingizio vya ''kuunga mkono juhudi''. Ameingia tuu Makonda taratibu tunaanza kusikia flani karudi CCM. Utapeli wa Hali ya juu.
 
Ccm wana siasa za kizamani sana. Hizi siasa za kununua wapinzani zime pitwa na wakati.
By the way Tlp hakikuwa chama cha upinzani. Bali Ccm marejea
 
Mjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.
Amefuja urithi wa mumewe mbele ya safari atakisaliti hicho chama kipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…