Haijalish mlikutana wapi fanyen haya kudumisha upendo wenu

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Husika na kichwa cha habar hapo juu

Haijalish ni kwa namna gan uhusiano wenu ulivyoanza na haijalish mlikutana wapi hata kama mlikutana facebook, inster au jamii forum

Hakuna uhusiano ambao ni mkamilifu lazima mtazozana kwa maneno au kwa vitendo, lakin kuzozana huko hakufanyi kuonekana kuwa hampendan japo msiwe mnazozana kila siku, kuzozana kila siku kwa wanandoa sio poa kabisa


Fanya mambo haya kudumisha upendo wenu


MAWASILIANO

UAMINIFU

KUSAMEHE

JITAMBUE

UWE MCHANGAMUFU


CC MBITI

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichojaribu kukisema ni kuwa mahusiano hayana kanuni (formula) moja inayoeleweka kusema kila mtu akiifuata hiyo hatopata matatizo ila mambo uliyoyaandika yanasaidia sana kuimarisha mahusiano na kuyafanya yadumu.
Ahaa safi sana mkuu lakin kwa maelezo yako hapo juu kwa jinsi yalivyo nyoka unaonekana wewe ni mhenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi ni zaidi ya hizi theories,

Wacha tuendelee kuumizana

invest what you are willing to lose
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…