Haijawi tokea pair bora ya viungo kama hawa

Ila iniesta yule jamaa ana skills, acha tu. Ndio mchezaji pekee dunia aliyekuwa na life contract.
 
Pirlo na Paul Scholes piga sana pasi ndefu hawa wajinga .We onyesha tu iwekwe wapi mali utakutana nayo hapo hapo ulipoonesha.
[emoji23][emoji28]dah! umeuwa aisee.
Pirlo anachinja kuku anamnyonyoa anampika kisha anawatengea nyie mle tu[emoji28].
 
shaaban kisiga "marlon", shekhan rashid, yusuf macho "musso"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…