Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Noma wakuuNaipenda Sana hiyo kitu tatizo harufu yake afu inakufanya ujishtukizie kinomaa... Hata kama watu wako na mambo yao unaona kama wanakuchora kwa mbali vile...
Ila kitu kiko poa baba ake
Dogo mbona hujatupa mrejesho ulifika iringa salama??Mayemu gashinaga nahene
Mmmh! Majanga hayo mkuuwidaaaaaaaah. pipe. ndumu
HahahahMayemu gashinaga nahene
Kibongo kibongo cha Arusha kipo poa sana babakeeNaipenda Sana hiyo kitu tatizo harufu yake afu inakufanya ujishtukizie kinomaa... Hata kama watu wako na mambo yao unaona kama wanakuchora kwa mbali vile...
Ila kitu kiko poa baba ake
Kitu kina uwepo wa ajabuKibongo kibongo cha Arusha kipo poa sana babakee
Kitu kinahitaji usitaarabu wa hali ya juu la sivyo unaweza kumwona grandmother kama vile yupo under18Kitu kina uwepo wa ajabu
Aibu babuKitu kinahitaji usitaarabu wa hali ya juu la sivyo unaweza kumwona grandmother kama vile yupo under18
Nilifika salama bro ijumaa nageuka tutakutana waswanoDogo mbona hujatupa mrejesho ulifika iringa salama??
Njoo leo jion nakusubir Sana mdg anguNilifika salama bro ijumaa nageuka tutakutana waswano
Kwa hiyo weekend Ndiyo tutaonana??Nilifika salama bro ijumaa nageuka tutakutana waswano