Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...

Kaka kwa huyuDADA ake LIZA ulikuwa unauza mechi condom lazima uliacha kutumia Uongo Ibu wa pili 😀 😀
Nililijua hilo alafu atujawai Fanya bila kinga nae ndio alikua anasisitiza sana kinga
 
Mkuu nishapita kimya kimya, nikupe pole kwa uliyopitia mpe pole zetu Liza pia[emoji120][emoji120]!
Mkasa wa Ibra wa pili ni funzo kwa wanadanu wote haya mambo hayana manju wala kungwi wasichana wabichi hawajui yupo mkweli yupi muongo hawatambui muungwana wala baradhuli ufahamu wao umefungwa kama atazamaye negative ya picha gizani kila mwananke na mwanaume waliokomaa watakiwa wawafunde na kuwafunza vijana wadogo kujitambua wao wenyewe na kuibaini mitego Ktk tasinia ya mapenzi Asante Jf
 
Hakika mkuu sahihi kabisa kabisa
 
Aisee ndipo pale wanaposema wadada hawawezi kufake uhusiano akizama sehemu anazama mazimaaa. Liza alipopata mtu wa kuburn movie alishindwa kudhibiti hisia zake akawa hana mapenzi kabisa na wewe kabisaaaa. Yani mwanamke akichepuka kumkamata ni rahisi huwa wana dissolve like solvent..Pole sana ulipitia mazito ya unyanyasaji wa kihisia ila malipo ni hapa hapa duniani umemkomesha. Sasa naomba umsaidie hata ka kibarua apate alee mtoto wake. Mungu atakubariki zaidi.
 
Du
 
Kuwa tuu story writter maana ni umenifanya nisimamishe kazi nisome maana inanoga
Lakini wakaka lazima kitu cha kwanza mjue ukiona demu anakuomba omba pesa hovyo bila huruma ujue hana mapenz na wewe hivo ndivo wanawake tulivo
Afu kingine ukiona mtu haeleweki ata kama unapenda vip jitahidi kuondoma mapema sabab kadri unakaa utavuna maumivu ambayo kisasi chake ni kama hiko 👆
 

hii series inapaswa kuitwa

The return of Ibra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…