Kweli tushinikize uwanja uvunjwe ulipo ukajengwe sehemu nyingine, mleta hoja hebu sema tukaujenge sehemu gani!?
Kwani kibaha ni sehemu ya Dar?.Ungejengwa hata Tegeta, Bunju au Kibaha ili isiwe mbali na Dar
Mfalme wa Morocco aliombwa kujenga Mwingine DodomaKiukweli tumepoteza fursa ya kuwa na viwanja viwili active kwa wakati mmoja .
Wa short time ni wengiHao wageni wenyewe mnao ?
Mtoni kwa Aziz AliLabda ulitaka ujengwe wapi?
Kwanini?Mtoni kwa Aziz Ali
Nisamehe mkuu , kipindi hicho nilikuwa nje ya nchi , halafu jambo baya lililofanyika miaka 10 haliwezi kunyamaziwa tu hata tunapokuja kustuka .umetoka kuamka au ulikuwa jela?
Maana bandiko lako linashangaza kidogo ,uwanja umejengwa tangu 2006 huko wewe unakuja kuongelea leo
Haitawezekana hata chembe .Mleta hoja anamaanisha viwanja hivyo haviwezi kutumika sambamba, mechi moja Taifa nyingine uhuru kwa muda mmoja
Wewe ni mwanamichezo ?Haya ndiyo mapendekezo ya watanzania kuelekea uchumi wa kati, ukisikiliza mabwegenazi kama hawa utarudi hatua tisa nyuma, sometimes mukuLu huwaga mnamchefua kwa staili hii na hatawasikiliza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nisamehe mkuu , kipindi hicho nilikuwa nje ya nchi , halafu jambo baya lililofanyika miaka 10 haliwezi kunyamaziwa tu hata tunapokuja kustuka .
Ndio maana kuna wengine hufukua hata makaburi ya Marehemu waliokufa miaka 50 iliyopita ili kutafuta ukweli .