Haileweki kama sasa CHADEMA ni wapinzani au waganga njaa. Maana hata njaa walizotegemea kupozwa hazijawatoa mrithi. Wajanja wachache wameshiba kidogo

Haileweki kama sasa CHADEMA ni wapinzani au waganga njaa. Maana hata njaa walizotegemea kupozwa hazijawatoa mrithi. Wajanja wachache wameshiba kidogo

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Upinzani sio kuwa mpinge kila jambo.

Upinzani sio kukomaa na kushikana mashati.

Lakini sio kwa kuendekeza njaa na kuonesha wazi kuwa una njaa.

Njaa za kushibisha matumbo njaa!

Wananchi wanaona kwa macho. Sasa mmeambulia nini? Wakiopata chochote kitu ni Mbowe na wajanja wachache.
 
Upinzani sio kuwa mpinge kila jambo.

Upinzani sio kukomaa na kushikana mashati.

Lakini sio kwa kuendekeza njaa na kuonesha wazi kuwa una njaa.

Njaa za kushibisha matumbo njaa!

Wananchi wanaona kwa macho. Sasa mmeambulia nini? Wakiopata chochote kitu ni Mbowe na wajanja wachache.
Ndio mfurahie sasa cdm imekufa si ndio furaha yenu uvccm mnajiliza nini
 
Upinzani sio kuwa mpinge kila jambo.

Upinzani sio kukomaa na kushikana mashati.

Lakini sio kwa kuendekeza njaa na kuonesha wazi kuwa una njaa.

Njaa za kushibisha matumbo njaa!

Wananchi wanaona kwa macho. Sasa mmeambulia nini? Wakiopata chochote kitu ni Mbowe na wajanja wachache.
Wewe utakuwa SUKUMA GANG mnufaika wa UDIKTETA WA JPM.

Jitahidi usife kihoro kwa mambo ya chedema, wewe kinachokutesa ni kwa kuwa mmoja wa wanufaika wa udhalimu wa dikteta JPM.

Sasa unayahofia maridhiano ya CHADEMA na CCM yatakutupa nje ya fursa za bure alizokupati DIKTETA AJPM LOKUFA.

Pole yako na jipange
 
Upinzani sio kuwa mpinge kila jambo.

Upinzani sio kukomaa na kushikana mashati.

Lakini sio kwa kuendekeza njaa na kuonesha wazi kuwa una njaa.

Njaa za kushibisha matumbo njaa!

Wananchi wanaona kwa macho. Sasa mmeambulia nini? Wakiopata chochote kitu ni Mbowe na wajanja wachache.
Mlisema ingekufa before 2015, sasa mambo ya sijui tumbo yanatoka wapi.

Subiri tume huru, subiri maridhiano, subiri katiba mpya itayokutoa kt wizi mloufanya mda mrefu kupitia KAYAFA PIA DIKTETA JPM
 
Mbowe must go,The guy does not fit anymore to be a chairman after selling CHADEMA to CCM.

He is currently total unfit.
Ndio kilio chenu hicho mbowe atoke ili muweze kuifarakanisha na kuisambatarisha CDM, ilo mmeshindwa na hamtashinda.

Ilo mlisahau kabisa, stability ya chama ni uwepo wa mbowe hapo CHADEMA, so mbowe is there for life.

Km inakuhuma, jitie dole kisha u....nuse
 
Ndio kilio chenu hicho mbowe atoke ili muweze kuifarakanisha na kuisambatarisha CDM, ilo mmeshindwa na hamtashinda.

Ilo mlisahau kabisa, stability ya chama ni uwepo wa mbowe hapo CHADEMA, so mbowe is there for life.

Km inakuhuma, jitie dole kisha u....nuse
Kwa comment hii, kweli nimeaamini Mbowe ndiyo mwenye CDM yake,na bila Mbowe hakuna CDM!!!
 
Upinzani sio kuwa mpinge kila jambo.

Upinzani sio kukomaa na kushikana mashati.

Lakini sio kwa kuendekeza njaa na kuonesha wazi kuwa una njaa.

Njaa za kushibisha matumbo njaa!

Wananchi wanaona kwa macho. Sasa mmeambulia nini? Wakiopata chochote kitu ni Mbowe na wajanja wachache.
Inaelekea jana usiku haukupata dona, umehesabu kenchi mpaka kumekucha umekuja na mada ya kijinga, leo Jumatatu changamka katafute pesa achana na Mbowe haitakusaidia kupata dona mchana.
 
Focus na chama lako linalohangaika kujenga matundu ya choo mbali ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 60, CCM wote mna ugonjwa wa akili
 
Upinzani utakuwa umeshakufa.
Tungojee labda uzaliwe mwingine.!

Sio huu wa yatokanayo
 
Focus na chama lako linalohangaika kujenga matundu ya choo mbali ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 60, CCM wote mna ugonjwa wa akili
Kwani Demographic Ni static.?

Unadhani kuna siku miundombinu itaacha kujengwa?

Shenzy Wahed
 
Upinzani sio kuwa mpinge kila jambo.

Upinzani sio kukomaa na kushikana mashati.

Lakini sio kwa kuendekeza njaa na kuonesha wazi kuwa una njaa.

Njaa za kushibisha matumbo njaa!

Wananchi wanaona kwa macho. Sasa mmeambulia nini? Wakiopata chochote kitu ni Mbowe na wajanja wachache.
Bwanako Sabaya anaendeleaje pale Gerezani Karanga Moshi??na mmejiandaaje na Hukumu ya tarehe 10 maana lazima bwanako Jambazi Sabaya agongwe miaka 30 Jela
 
Ndio kilio chenu hicho mbowe atoke ili muweze kuifarakanisha na kuisambatarisha CDM, ilo mmeshindwa na hamtashinda.

Ilo mlisahau kabisa, stability ya chama ni uwepo wa mbowe hapo CHADEMA, so mbowe is there for life.

Km inakuhuma, jitie dole kisha u....nuse
Idiot as I said before your Mbowe must go,he doesn't deserves to be chairman anymore.
 
Bwanako Sabaya anaendeleaje pale Gerezani Karanga Moshi??na mmejiandaaje na Hukumu ya tarehe 10 maana lazima bwanako Jambazi Sabaya agongwe miaka 30 Jela
Mashoga mnailiwa mnasumbua sana.
 
Upinzani utakuwa umeshakufa.
Tungojee labda uzaliwe mwingine.!

Sio huu wa yatokanayo
Kwani bado hujaambiwa? Wiki ijayo uko zamu ya kulinda kaburi lake huko Burigi.
Nenda ukalilie huko na umuimbie shetani mapambio, ngonjera hizo, mkiwa na mzee wa jalalani
 
Back
Top Bottom