Haina Haja.

Haina Haja.

Chapa Nalo Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
7,518
Reaction score
6,506
"Aaah!, yalaaa, sijui imekuwaje, yaani sikutambua kabisa, loh!, sikujua kabisa kuwa ko.n.d.om imepasuka ila nilihisi tu kama vile utamu umeongezeka, nikajikuta naongeza sipidi, sasa itakuwaje, eti mpenzi iweje!? ok hebu twenda tukanawe na maji chapu chapu" ( A Zuma`s Preventive Doctrine a.k.a Principle). Nimegundua kumbe hakuna haja ya kusumbuka na hayo mamipira ya c.o.ndo.m, cha muhimu ni kuwa na beseni la maji karibu.
 
Back
Top Bottom