Sio slogan ya hiyo bia, ni slogan ya tamasha la FIESTA 2011/2012 linalodhamiwa na bia hiyo.Habari za asubuhi wanajamii wenzangu,kuna kitu kinanitatiza kwenye tangazo la bia moja wanaslogan inayosema"HAINA MAJOTRO"mimi mpaka leo sijajua maana ya hilo neno,na hata nikiwaeleza watu wanaopenda kulitumia hili neno hawanipi jibu la kuniridhisha,ndio maana nikaamua kuleta hapa kwa great thinkers wanisaidie kupata jibuasanteni.
Juuubha tufwile nnyambalaMaana yake ni Haina madaze chalii yani..