Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Unamuacha Elias Maguli unachuku Pape Ndaw
ama kweli ukichagua sana nazi utaishia koroma
yule straika kama kweli i mzuri anahitaji muda lakini ukiwa professional naamini lazima uwe na vitu vya ziada kuliko mzawa,
na wakati mwongine makocha wanakua na tashwshwi kwa sababu hata Kiiza Mwalimu alishaoendekezwa akatwe
ama kweli ukichagua sana nazi utaishia koroma
yule straika kama kweli i mzuri anahitaji muda lakini ukiwa professional naamini lazima uwe na vitu vya ziada kuliko mzawa,
na wakati mwongine makocha wanakua na tashwshwi kwa sababu hata Kiiza Mwalimu alishaoendekezwa akatwe