Haipendezi kwa mwanaume kutumia 'emoji' hizi za WhatsApp

Leo siongelei wanaume wa Dar tu, leo ni wote wenye vijitabia vya kutuma Emoji za kipuuzi mbaya zaidi wanatuma hadi kwa wanaume.

Wewe mwanaume rijali kamwe huwezi kuwa na akili ya kutumia hizi Emoji kamwe ;.

View attachment 529309
Kwanini? Weka hoja kwanini mwanaume asitumie hizo Emoj wakati hiyo ni lugha ya ishara ktk maandishi...

Umevuta bangi huko halafu unataka mawazo yako ya kibangi bangi iwe sheria..!!!
 
Muwe mnatoa na sababu sio kuishia tu kusema tu hiki mara vile,maana kila mtu ana mitizamo yake na ndiyo maana wengine wanaona kula ugali ndiyo uwanaume japo anachapiwa mkewe na mwanaume wa Dar mla chips tu.
Mkuu jiwe gizani ....alaf hao hao wanaokula chips wanaenda dakika 10 tu lakini mwanamke tayar kashavunja mayai kama matatu hivi ....waache wale ugali [emoji119] [emoji23]
 
Basi endelea kuchati na wanawake wenzako,usichati na wanaume.
 
Kwanini? Weka hoja kwanini mwanaume asitumie hizo Emoj wakati hiyo ni lugha ya ishara ktk maandishi...

Umevuta bangi huko halafu unataka mawazo yako ya kibangi bangi iwe sheria..!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…