by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
kaaazi kweli kweli
matatizo yakizidi muone daktari
kaaazi kweli kweli
matatizo yakizidi muone daktari
Wanaume ambao ni soft soft hata ubongo wao ni soft hivohivo
Mwanaume hata ndevu hana mmmmh vilaza kweli kweli
Hata wewe unajua
Mwanaume mwenye manywele ana akili bwana
Nywele zinabebabusara za wanaume kumbuka hata Samson kwenye biblia
Kama huamini anza kuwasomaleo
Mungu wangu kumbe zinawachanganya hivi ngoja nianze kutembea kifua wazi, ili niweze kuongeza japo kitu kimoja ninachokubalika katika jamiihahahaha Wewe mtoto watafuta matatizo na watu humu ndani, you could say it in better words. Personaly, sipendi ambaye hana au wale wenye kipilipili sana mpaka zinachoma. I just think its sexy for man to have facial hair more than I have.
Jamani kwa hiyo wenye vipara kama mimi ndo wamewekwa kundi gani?
Mwanaume Love garden Bwana..Nywele za kifua zina raha yake. mwanaume asipokua na ndevu hapendezi nitamtofautishaje na mimi sasa???? kunako mahabbah kuna rahha ya kuchezea hiyo kitu bhanna..inaleta usingizi mtamuuuuuuuuu
ili uitwe mwanaume uwe na ndevu na hiyo "love garden" kidogo ya kifuani. sasa mwanamme unakimbilia 50 hata dalili ya vindefu hakuna, uso laini utadhani unapaka cream, excuse me...
kuna room met wangu yeye anazo nywele kuanzia kichwani,nyusi nying ajabu,mandevu,kifuani ,mgongoni,mikönon,miguuni hadi kwenye tigo.mda anavaa nguo uwa nachekea moyo lakin jamaa anatisha alafu ni kipilipili .ukimwangalia utazani wadudu wamemnasa
kuna dawa za wachina lakini
tatizo si kwa wanaume tu dada hata wanawake wanachangia kwa sehemu kubwa .mimi nilishaambiwa na ndugu zangu wa kike ninapo taka kuowa nisirizike na mwanamke kabla sijawafahamu wajomba zake na wadogo zake wakike na kiume ....coz watoto wetu watareflect na kwa mama yao pia.....wanaume ambao hawana ni vilaza kweli kweli in every aspect in lifeSi mnaona hatamaprofesa wazungu,wahindi waarabu full minywele full miakili
Wanaume ambao hawana nywele akili ni pungufu
MadamX na Smile, habari zenu kwa mpigo?:censored:
Kwenye bold hapo naunga mkono, mwanaume without NDEVU ni NOMAR wengine ndio wanaua kabisa hata kamoustach kwishney