meghan markle
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 489
- 1,192
Honestly sijui hata ulichoongea. Jaribu kule jukwaa la utanashati unaweza saidiwa....Mamboz!!
Wanye uzoefu wa kazi za saloon/hair stylists natafuta Hair Texturizer,mwenye idea wapi naweza ipata naomba anielekeze.
Nimezunguka KKoo maduka hawana na wengine hawana hata idea ni kitu gani.
Nywele zangu ni natural na ndefu ,so nakua natumia muda mwingi kuzistyle asbh.
Texturizer inasaidia kulainisha nywele na kuretain mawimbi yake natural sio kama relaxer.
Anyone who knows wapi naeza pata nitashukuru sana.
Mamboz!!
Wanye uzoefu wa kazi za saloon/hair stylists natafuta Hair Texturizer,mwenye idea wapi naweza ipata naomba anielekeze.
Nimezunguka KKoo maduka hawana na wengine hawana hata idea ni kitu gani.
Nywele zangu ni natural na ndefu ,so nakua natumia muda mwingi kuzistyle asbh.
Texturizer inasaidia kulainisha nywele na kuretain mawimbi yake natural sio kama relaxer.
Anyone who knows wapi naeza pata nitashukuru sana.
AsanteNgoja wataalam waje boss
Sina haraka dear....Kaa hapahapa jukwaa la utanashati utachelewa kupata majibu
OkeSina haraka dear....
Kwani hili ni jukwaa lipi?Honestly sijui hata ulichoongea. Jaribu kule jukwaa la utanashati unaweza saidiwa....
Mwenzangu na mm nimecomment kumsikia huyo [emoji115]hapo juu tumevulugwa best[emoji2][emoji2]Kwani hili ni jukwaa lipi?
Hahahahaha mmevurugwa tena so kidogo maana naona niko jukwaa sahihi [emoji23] [emoji23] [emoji23] hadi nikajishtukia nilijua niko Jukwaa is Inteligensia bwana!Mwenzangu na mm nimecomment kumsikia huyo [emoji115]hapo juu tumevulugwa best[emoji2][emoji2]
Ooh okay thank you,nitaanzia pale Zuri.Asante sana kwa idea.Jaribu Dar free Market...kuna maduka ya vipodozi na mambo ya nywele pale...huwezi kukosa.
Ooh okay thank you,nitaanzia pale Zuri.Asante sana kwa idea.
Jaribu S.H Amon pia..i used to buy At-One texturizer for kids,sijui kama bado wanazo.Mamboz!!
Wanye uzoefu wa kazi za saloon/hair stylists natafuta Hair Texturizer,mwenye idea wapi naweza ipata naomba anielekeze.
Nimezunguka KKoo maduka hawana na wengine hawana hata idea ni kitu gani.
Nywele zangu ni natural na ndefu ,so nakua natumia muda mwingi kuzistyle asbh.
Texturizer inasaidia kulainisha nywele na kuretain mawimbi yake natural sio kama relaxer.
Anyone who knows wapi naeza pata nitashukuru sana.
Mie mwenyewe nimechangamka.AsanteNenda S.H amon sema bei zimechangamka
Mie mwenyewe nimechangamka.Asante
Minimeanza kuchoka ndo maana nazilainisha.Inataka moyo kuzitunza though zikiwa ndefu unapendezaAll the best nataman kuwa na natural..dah
Minimeanza kuchoka ndo maana nazilainisha.Inataka moyo kuzitunza though zikiwa ndefu unapendeza
Yeah af ukitaka kuwa natural usiwe na haraka weka rough ama suka, suka ....maana it's a process mpk zifike urefu nzuriSisy angu anazo ndefu zina 6yrs...ila ana mateso aisee..dah..ila nataman lakin sina guts....!iko siku nitakata niweke rough
Yeah af ukitaka kuwa natural usiwe na haraka weka rough ama suka, suka ....maana it's a process mpk zifike urefu nzuri