meghan markle
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 489
- 1,192
- Thread starter
-
- #21
Hahahahah hapo patamu, but kama hubby hana neno weka tu.I mean if he is okay with it,opinions za wengine shouldn't bother you.Yaan nataman..alafu mm nywele zangu zina shukran..bas tu..eti naogopa ukwen kiweka rough..ila hubby he is okey with that ..na mama pia msabato ataniambia mhunj[emoji23]
Weka rough kama za Shamim au Monfinance ziko neat,sio lazima u-bleach.As long as you're smart uapendeza
Raha ya kukata unaoga kuanzia kichwani.[emoji5]yes za shamim na moni tamu ..niliwah kwenda saloon kukata wakakataa hahaa nilowashangaa sana. july nakata
Raha ya kukata unaoga kuanzia kichwani.[emoji5]
Yaan nataman..alafu mm nywele zangu zina shukran..bas tu..eti naogopa ukwen kiweka rough..ila hubby he is okey with that ..na mama pia msabato ataniambia mhunj[emoji23]
Njoo nikuringishie rough zangu
Weeeeeee ushindwe. Unataka nishinde na style ya mapank ya kisabato? Rough dread has been my style since 2014. Nibembeleze vizuri nikutumie pichaWewe mlokole na mambo ya rough wapi na wapi[emoji847][emoji847][emoji847]..nitupoe bas piyemu mamito
nipate kuweweseka..july nami ninyoe