Haitatokea tena Rais wa Marekani na Urusi kula bata pamoja kama hivi

Haitatokea tena Rais wa Marekani na Urusi kula bata pamoja kama hivi

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Putin na George Bush

0702_putin_bush.jpg

images.jpg

download.jpg
 
Viongozi hao wawali walionyesha ukomavu wa akili na hekima - hata Baba yake Bush Sr na mama yake walichangia sana kwa Bush Jr na Putin kuelewana kwa kiasi kikubwa - enzi zao hata Dunia ilikua imetulia sana, hapakuwepo utunishaji wa misuri na maneno ya uchonganishi yenye lengo la kuyafanya baadhi ya mataifa yasielewane.
 
Tatizo ni huyu Putin kuwepo madarakani kama rais wa milele dizaini ya wale madikteta wa Afrika wenye akili nyeusi.

Angepokezana madaraka na wenzake angebaki katika historia ya heshima daima.
 
Tatizo ni huyu Putin kuwepo madarakani kama rais wa milele dizaini ya wale madikteta wa afrika wenye akili nyeusi.
Angepokezana madaraka na wenzake angebaki katika historia ya heshima daima.
Hivi Russia imeshawahi kutumia mabomu ya Nuclear/atomic kuua watu popote pale duniani? Ni Taifa gani ovu kabisa duniani limewahi kutumia mabomu hayo hapa duniani mkuu?
 
Kwa Russia na USA sawa ila Bush hawezi sahaulika hapo mashariki ya mbali maana aliwapo dozi si kitoto. Amepigana sana huyu jamaa
 
Back
Top Bottom