Hivi Russia imeshawahi kutumia mabomu ya Nuclear/atomic kuua watu popote pale duniani? Ni Taifa gani ovu kabisa duniani limewahi kutumia mabomu hayo hapa duniani mkuu?Tatizo ni huyu Putin kuwepo madarakani kama rais wa milele dizaini ya wale madikteta wa afrika wenye akili nyeusi.
Angepokezana madaraka na wenzake angebaki katika historia ya heshima daima.