OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Haha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mchangieni ili arudi aanze kutuambia tafuta pesa
Wasanii wenzake si wapo wamchangieMaisha ni haya haya tumsaidie kwa kile kidogo Mungu alichotujalia.
[emoji1]Wasanii wamenipita kushoto. Huyo ni msanii wa kitu gani
UmwareeHaha
Ova
Kutoa moshi puanKuishi kama dragon ndo kupoje
Kuishi kama dragon ndo kupoje
Wa bongo flava, ni wale wasanii wanaoimba kila siku lakini hawajawahi pata bahati ya kutoa mega hit song ya kuwapa jina kubwa mainstream. Japo media huwa zinampa sana interviews ndo maana anajulikana kiasiWasanii wamenipita kushoto. Huyo ni msanii wa kitu gani
Mmewe huyo aka niite bosheniPesa anatumiwa Bwashee MTEI. Hatari sana. Mjini uje na akili tu
Km Uwoya kaahh... hapana nyodo zimezidi wa kuambiwa watu wanakaaa stoo watafute Hela[emoji3526][emoji28][emoji3526][emoji3526][emoji3526]akasema j3 ni wikiendei sio work day,tutafute Hela tupunguze kupanda daladala !!!Ninavyowasubiri kwa hamu Kajala na Uwoya, we acha tu waendelee kutuita mbwa tusiojua kuishi!
Akuu Kuna wahitaji wengi mnoo wa kuwapaAcha Roho mbaya mkuu. Roho mbaya haijengi.[emoji1787][emoji23][emoji1][emoji38]
Mungu anisamehe ila msanii wa bongo hakuna ntakaemchangia for sure hata siku Moja labda Riyama tuu..wengine wote hapanaYan mtu aamue yeye kuish kama dragon m ntoe pesa yangu apone? Bora nkabashir mech ulaya
Msanii anaimba mziki,ameolewa na niite bosheni Nadhani mchora tattoo yule kaka maarufu (watanisahihisha)...!!!
Duuuu wachawi Tanzania mpo wengi sanaNinavyowasubiri kwa hamu Kajala na Uwoya, we acha tu waendelee kutuita mbwa tusiojua kuishi!