Haithamkim amefanyaje?

Ninavyowasubiri kwa hamu Kajala na Uwoya, we acha tu waendelee kutuita mbwa tusiojua kuishi!
Km Uwoya kaahh... hapana nyodo zimezidi wa kuambiwa watu wanakaaa stoo watafute Hela[emoji3526][emoji28][emoji3526][emoji3526][emoji3526]akasema j3 ni wikiendei sio work day,tutafute Hela tupunguze kupanda daladala !!!
 
Ndio nimemsikia Leo huyo msanii...vijana ACHENI SHISHA na huyo ni mmoja tu tumemfahamu coz ni msanii..ni vijana wangapi wako ocean road au hospital zingine wanateseka na mapafu kushindwa kufanya kazi na cancer .huyo mapafu kwisha habari yake.Mungu aingulie kati otherwise hatoki humo ICU maana hawezi kupumua bila mashine na mapafu yamefail...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…