Mwananchi wa tanzania
New Member
- Apr 23, 2018
- 3
- 17
Hivi haiwezekani serikali kuwapangia hawa wamiliki wa nyumba bei elekezi ya kodi kutokana na ubora wa nyumba zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komaa ujenge nyumba yako mkuu, hizo kero za nyumba za kupanga bado ni donda ndugu nchi hii.Hivi haiwezekani serikali kuwapangia hawa wamiliki wa nyumba bei elekezi ya kodi kutokana na ubora wa nyumba zao?
Soko huriaHivi haiwezekani serikali kuwapangia hawa wamiliki wa nyumba bei elekezi ya kodi kutokana na ubora wa nyumba zao?
Komaa ujenge nyumba yako mkuu, hizo kero za nyumba za kupanga bado ni donda ndugu nchi hii.
Hili litakwisha ikiwa tu serikali ama shitika la nyimba itakuwa na uwezo wa kumiliki nyumba nyingi na kuzipangisha.