Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Mm ni mpagani lakini ngoja nikujibu tu na haimaanishi siijui biblia nshaisoma sana nimechoka

Kwaiyo ndo mnafundishana kujiona bora na kuona wengine mashetani tena mnawanyooshea vidole kabisa mnasaligi nn huo upendo gani.

Kwaiyo kusali jumamosi ndo inawafanya nyie mjione maserafi na makerubi

Nyinyi ni wajuaji sana watu wenye akili timamu tunawaona mmjeaa mihemko tu.
 
Wewe badala ya kujibu Hoja, unaleta ujuaji.


Hilo bichwa lako Hilo
 
Wasabato nawakubali sana mafundisho Yao hawapindishi.

Jinsi sisi rc tunavyowaona akina mwamposa ni watapeli na wasabato wanatuona vilevile.

Kama wanayo sema ni uongo tuwe tunapinga Kwa maandiko sio blah blah maana wao wanasema Kwa maandiko na ushahidi wa vitabu vyetu.
 
We unawaona wasabato wako sawa kiakili? Kutana na wasabato uone nati zilivolegea.
 
Wewe badala ya kujibu Hoja, unaleta ujuaji.


Hilo bichwa lako Hilo
Wewe badala ya kujibu Hoja, unaleta ujuaji.


Hilo bichwa lako Hilo
Na usiwe
Haina shida lakini wasinyooshe wengine vidole kwa ubaya kama dini yao ndio takatifu wakae nayo watulie
 
Nioneshe mkuu siyo ugomvi. Liweke hapa
Marko 2:28 Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.

Therefore the Son of man is Lord also of the sabbath.
Nioneshe mkuu siyo ugomvi. Liweke hapa
Mathayo 12:8 Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
For the Son of man is Lord even of the sabbath day.

Isaya 66:23-24 Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema Bwana......

Hilo fungu nloli bold .... Ni kwamba, Miaka nenda miaka rudi, mpaka siku ya kiama ,mpaka siku ya mwisho, Sabato utabaki kua Sabato na wanadamu WATAKUSANYIKA KUMUABUDU TU
 
Ni kama wasanii wa bongo wale haters bila kumnanga mondi hawatrend
 
Mimi sisemi mtu yeyote ata saiv ukiniambia wewe ni malaika mabawa yako umeyatunza mahali sina shida mm😂
Nikawaida kabisa kuwaambia watu ukweli pale ukiona kanisa Hilo linaemda kinyume na maandiko yetu (biblia) binafsi Mimi sionagi kero Kwa wasabato kutusema na Bahati nzuri wanakuwa na maandiko ya kuthibitisha.
Unaulizwa kwanini mna masanamu makanisani mwenu Ili Hali biblia imekataza.....unapitia kushoto huyooo😂😂
 
We unawaona wasabato wako sawa kiakili? Kutana na wasabato uone nati zilivolegea.
Wewe hutakuwa wa kwanza kutuonq hatuna akili maana ukiisoma Historia wale wote walioamua kusimamia neno walionekana hawana akili na wazushi. Wasabato wanaihubiri kweli ya neno la Mungu
 
Ukitaka kumchukia jirani lazima kila siku utawaambia watoto wako "nikimwona mtu anakwenda kwa jirani, atanikoma." Hivyo, watoto hata bila kujua sababu na wao watakapokuwa watu wazima, wataanza kuwaambia watoto wao "baba/mama walikuwa wanatukataza kwenda kwa jirani yetu...na nyinyi nisimwone mtu." Hao Wana 'obsession' na si mjini tu, hata vijijini. Ninakotoka Mimi huwa wanafanya makambi na siku ya kumaliza makimbi yao ndiyo huwa wanalishambulia Kanisa Katoliki. Lakini mtaani mkikutana wanajikausha. Sasa hivi kuhusu mafundisho kama haya, silazi damu...mtu akiliamsha na mimi naliamsha mpaka kinaeleweka. Kwa upande mwingine, Wakatoliki hatuna shida. Tutaendelea na hamsini zetu - kusali kwa namna tunavyoguswa na kusaidia kuleta maendeleo katika nchi yetu kwa njia ya huduma za elimu, afya, nk. Tumewekeza sana kwenye elimu: sasa hivi baadhi ya mapadri na watawa wetu (waume kwa wanawake) kulingana na eneo la utume wa mtu, wanasoma sheria za nchi, hata kwenda law school kwa lengo la kujiimarisha katika uinjilishaji na pia kuhakikisha tunakuwa na wataalamu wanaoweza kutushauri katika mambo mbalimbali ya kiraia kuhusu mikataba, uwekezaji, afya, elimu, mazingira, na maendeleo kwa ujumla na ili hata kama ni kutoa tamko au barua ya kichungaji iwe na maudhui yanayokidhi vigezo vya kisheria. Big up Kanisa Katoliki!
 
Mkuu nani alikusanya hivyo Vitabu? Mwaka gani?
 
Wewe unayewaambia wengine ni ukweli gani ulio nao wa kuangalia 6 kama 9 kutegemea na sehemu uliko?
 
Yaani wasabato wanaamini wao ndio wataona pepo kwakuwa wanasali siku ya jumamosi. Na ktk ukristo wnajiona wa special sana
Hao takataka sio ata wakristo. Ni ubatili mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…