Haiwezi kutokea mtoto wa kumzaa mimi afanye kosa halafu nishindwe kumuadhibu

Haiwezi kutokea mtoto wa kumzaa mimi afanye kosa halafu nishindwe kumuadhibu

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Niwapongeze wanaume wa Kanda ya ziwa ama hakika Mungu alituumba vilivyo na kutubaliki.

Sina maana vidume wa mikoa mingine ni Walegevu ila kiukweli mwanaume wa Kanda ya ziwa hawezi fananishwa na mikoa mingine.

Najua mtanisi ila kwetu sisi ni jambo la aibu kubwa sana mtoto wangu niliyemzalisha mama Bhoke au Mnaka afanye kosa halafu mimi nijitokeze hadharani kuomba mwanaume mwingine anisadie kumwadhibu eti kwa mujibu wa sheria.

Hakuna kitu kama hicho na hakuwezi kutokea kamwe mtoto nimzae Mimi afanye kosa nishindwe kumtamdika?kisa ni mkubwa?

Namkumbuka Mzee Magufuli mwanae aliwahi mtusi mlinzi wa St Mathew sijawai sahau kichapo alichokila huyo mtoto mpaka huwa nikikutana na huyo jamaa namuitaga chakulia tu.

Inakuaje Simbachawene mwannao anazingua unashindwa kumtia hata Kofi? Wanaume wa mikoa mingine mnatutia aibu.
 
Bora ulivyofuta hio mikoa mingine maana kuna majabali tunatokea huko
 
Kupiga watoto wala siyo kuwafundisha. Sana sana unawaharibu kisaikolojia wanakuja kuwa watu hovyo ukubwani. Mawazo ya kizamani sijui mtaacha lini.
 
Magufuli sio baba wa kumlinganisha na wababa wengine,kuanzia nyumbani mpaka ofisi alizohudumia ni ile aina ya wazee hataki uharibikie mikononi mwake.

Kwa Simbachawene ni tofauti,ni ile aina ya wazee ambao hawakuwaongoza watoto katika mstari mnyoofu lakini hawataki kukubaliana na hasara zake.mbele ya watu ni aibu sana mtoto wako analewa anafanya ujinga kisha anakutaja.ndio sababu akawa mbogo kwamba afundishwe adabu.

Yote kwa yote kijana ni mtu mzima,alipofika anafaa kujiongoza na kutambua mazuri na mabaya akajitenga nayo,kuliko kubehave kama mtoto wa form 2.
 
Ulitaka amlime shaba hadharani?

Bwege sana veve
 
Kupiga watoto wala siyo kuwafundisha. Sana sana unawaharibu kisaikolojia wanakuja kuwa watu hovyo ukubwani. Mawazo ya kizamani sijui mtaacha lini.
Acha kugusa wanao uje uone moto wake.

Kupiga mtoto ni kwa faida ya jamii zaidi kuliko zake binafsi, ona huyu anagonga gari za watu anakimbia,akikutana na mtu hapendi upuuzi akamtia risasi ya kisogo!
 
magufuli sio baba wa kumlinganisha na wababa wengine,kuanzia nyumbani mpaka ofisi alizohudumia.
ni ile aina ya wazee hataki uharibikie mikononi mwake.

kwa simbachawene ni tofauti,ni ile aina ya wazee ambao hawakuwaongoza watoto katika mstari mnyoofu lakini hawataki kukubaliana na hasara zake.mbele ya watu ni aibu sana mtoto wako analewa anafanya ujinga kisha anakutaja.ndio sababu akawa mbogo kwamba afundishwe adabu.

yote kwa yote kijana ni mtu mzima,alipofika anafaa kujiongoza na kutambua mazuri na mabaya akajitenga nayo,kuliko kubehave kama mtoto wa form 2.
Hivi katika zile clip ni wapi Mtoto anaonesha akijitambulisha kua yeye ni Mtoto wa Simba Chawane!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ule ulikua utawala wa kidicteta huu n utawala w kisheria. Safi sn chawene kwa kufata sheria. Say no dictatorship
 
Yule polisi anawezakana alianza kumtusi. Zile clip ziko short na wamekata baadhi ya sehemu
 
Niwapongeze wanaume wa Kanda ya ziwa ama hakika Mungu alituumba vilivyo na kutubaliki.

Sina maana vidume wa mikoa mingine ni Walegevu ila kiukweli mwanaume wa Kanda ya ziwa hawezi fananishwa na mikoa mingine.

Najua mtanisi ila kwetu sisi ni jambo la aibu kubwa sana mtoto wangu niliyemzalisha mama Bhoke au Mnaka afanye kosa halafu mimi nijitokeze hadharani kuomba mwanaume mwingine anisadie kumwadhibu eti kwa mujibu wa sheria.

Hakuna kitu kama hicho na hakuwezi kutokea kamwe mtoto nimzae Mimi afanye kosa nishindwe kumtamdika?kisa ni mkubwa?

Namkumbuka Mzee Magufuli mwanae aliwahi mtusi mlinzi wa St Mathew sijawai sahau kichapo alichokila huyo mtoto mpaka huwa nikikutana na huyo jamaa namuitaga chakulia tu.

Inakuaje Simbachawene mwannao anazingua unashindwa kumtia hata Kofi? Wanaume wa mikoa mingine mnatutia aibu
Unavoongelea kanda ya ziwa utadhani kuna majuha wengi kama wewe..

Mtu na mke na mtoto utawachapa viboko...

Ukiona mnavojidai na ubabe utadhan kuna kitu mnaweza....angalia wenzako wanauza mayai mjini
 
Unavoongelea kanda ya ziwa utadhani kuna majuha wengi kama wewe..

Mtu na mke na mtoto utawachapa viboko...

Ukiona mnavojidai na ubabe utadhan kuna kitu mnaweza....angalia wenzako wanauza mayai mjini
Umewaona wanaouza mayai mjini tu!? Ila mageneral walioko jeshini unaogopa kuwataja? Ok endelea kucheza singeli uku mkeo akikata mauno kwenye daladala.
 
Kujisifia sifia hiyo ni dalili ya udada. Badilika wanaume hatuko hivyo
 
Dunia siyo shule? Yaani wahenga waliosema ".....ufunzwa na Ulimwengu/dunia" walikuwa wajinga?
Au huyo mtoto wa bosi alikuwa mbinguni?
===
Tutaelewana.
sasa shule ya dunia utafananisha na shule ya mbuyuni?
si ndio babaake kamaanisha akafunzwe na dunia ndio maana kasema akashughulikiwe hukohuko duniani.
 
Umewaona wanaouza mayai mjini tu!? Ila mageneral walioko jeshini unaogopa kuwataja? Ok endelea kucheza singeli uku mkeo akikata mauno kwenye daladala.
Jeshini is no brainer .... nipo hapa Kariakoo njoo nawewe nikuchezeshe singeli
 
Unavoongelea kanda ya ziwa utadhani kuna majuha wengi kama wewe..

Mtu na mke na mtoto utawachapa viboko...

Ukiona mnavojidai na ubabe utadhan kuna kitu mnaweza....angalia wenzako wanauza mayai mjini
Arudii tena
 
Back
Top Bottom