Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Haiwezi kuwa aibu watu kama tupo Mill. 55 walipa kodi wapo Mill 2.2, na haita kua aibu kwa sababu
1. Wanasiasa wanaingilia maamuzi ya wafanya biashara katika biashara zao
2. Siasa na biashara zinalazimishwa kuingiliana, hata pale ambapo kuna biashara anaweza akalazimishwa mfanya biashara na kumuonyesha ulazima wa siasa kuingizwa, sasa nani anataka siasa
3. Si kila mtu ni mpenzi wa siasa, wafanya biashara wanaweza kulazimishwa waingie kwenye siasa ili mali zao ziwe salama au ndio watapona kitu ambacho wengi hawataki, lazima mfanya biashara achague/ aamue mwenyewe
4. Kusajili kampuni ya biashara na kupata lesseni ya biashara ni gharama kubwa sana sana, ifahamike kodi ndio inatakiwa iangaliwe na izingatiwe kuwa ni kubwa zaidi ya tozo za hapa na pale
5. Inaweza ikatokea mfanya biashara akapata vitisho ili atoe hela hivyo kunfanya asiwe na amani na usalama wa mtaji wake, hapa huwezi tegemea kila mtu alipe kodi, magendo lazima na kodi inaweza isilipwe.
1. Wanasiasa wanaingilia maamuzi ya wafanya biashara katika biashara zao
2. Siasa na biashara zinalazimishwa kuingiliana, hata pale ambapo kuna biashara anaweza akalazimishwa mfanya biashara na kumuonyesha ulazima wa siasa kuingizwa, sasa nani anataka siasa
3. Si kila mtu ni mpenzi wa siasa, wafanya biashara wanaweza kulazimishwa waingie kwenye siasa ili mali zao ziwe salama au ndio watapona kitu ambacho wengi hawataki, lazima mfanya biashara achague/ aamue mwenyewe
4. Kusajili kampuni ya biashara na kupata lesseni ya biashara ni gharama kubwa sana sana, ifahamike kodi ndio inatakiwa iangaliwe na izingatiwe kuwa ni kubwa zaidi ya tozo za hapa na pale
5. Inaweza ikatokea mfanya biashara akapata vitisho ili atoe hela hivyo kunfanya asiwe na amani na usalama wa mtaji wake, hapa huwezi tegemea kila mtu alipe kodi, magendo lazima na kodi inaweza isilipwe.