Haja kubwa ni kama maji, msaada

Haja kubwa ni kama maji, msaada

ENT

Member
Joined
Apr 19, 2014
Posts
34
Reaction score
2
Mambo wana JF Doctor,

Kuna rafiki yangu anasumbuliwa na tatizo la kutokwa na maji njia ya haja kubwa yenye harufu kama mavi, kama alivyonielezea nikashindwa kumpa ushauri na badala yake nikamwambia aende hosipitali ila si vibaya nikalileta hapa JF ÐOCTOR kwani humu kuna wataalamu wengi.

Changia tumpe ushauri mwanaume mwenzetu.
 
Hebu muulize rafiki yako kama hafanyiwi ule mchezo mchafu kwanza-tuanzie hapo
 
hajawah kufanyiwa mchezo mchafu kama alivyonieleza
 
daaa mpe pole ila muulize alishawah kupanuliwa marinda
 
Back
Top Bottom