KAPERO Member Joined Jul 18, 2010 Posts 46 Reaction score 8 Sep 10, 2010 #1 Huwezi amini,, jamaa huyu maarufu sana kama kwa jina la Embe,, alionekana asubuhi sana akielekea maeneo kunako uzwa vileo vya kinyumbani/kienyeji. na baada ya kama nusu saa akakutwa kajilalia kama umauti umemfikia!!!:eek2::lol::eyebrows::sleepy:
Huwezi amini,, jamaa huyu maarufu sana kama kwa jina la Embe,, alionekana asubuhi sana akielekea maeneo kunako uzwa vileo vya kinyumbani/kienyeji. na baada ya kama nusu saa akakutwa kajilalia kama umauti umemfikia!!!:eek2::lol::eyebrows::sleepy:
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Sep 11, 2010 #2 sasa huyu jamaa anajiona kama yupo kitandani? kazi kweli Pombe sio maji Sio mchezo
father-xmas JF-Expert Member Joined Mar 23, 2010 Posts 971 Reaction score 1,117 Sep 12, 2010 #3 namna hii si wazee wa mujini wanajilia ubwabwa......................!