Hajawahi kuwa na mpenzi, anayachukia mapenzi, hayuko tayari kuwa katika mahusiano

Afrodenz una akili kama serikali. Huyo mdada hajamzimikia saana jamaa. Na inavyoonekana jamaa kama analazimisha hivi kwa mtazamo wangu. Demu sidhani kama ni wa kawaida.

ni kweli siyo wa kawaida, hata watu waliosoma naye wanathibitisha hilo, nadhan nina kazi ya ziada ya kumbadilisha
 
ni kweli siyo wa kawaida, hata watu waliosoma naye wanathibitisha hilo, nadhan nina kazi ya ziada ya kumbadilisha

kwenye blue
hata usije kujaribu ..
huwezi kumbadilisha mtu my dear ..

kama hataki kubadilika mwenyewe
kweli usijihangaishe..
 
angalia utakuja lia siku moja, coz issue kama hii iliwahi mtokea jirani yangu, huyu dada hakupendi ila kuna ki2 unachomzidi, yaani anakuwa na mashaka kwamba endapo akikata mawasiliano na ww atakikosa. Bt wasichana wa aina hii akishapata alichokitumaini mfn hyo ELIMU+KAZI atakuchinjia baharini coz hakukupenda toka mwanzo. Ni mchango wangu tu
 

Wiseboy kula kumi, demu kwa kuwa dent anapenda vizawadi na hiyo care ya jamaa. Akimaliza shule akapata kazi lazima amtose jamaa. Jamaa kama anatakiwa kuwa makini, kuna masharti lakini hilo la kupata kazi kwanza mhh..kumaliza shule sawa.
 

mh kazi ipo
 
Aisee achana nae huyo haeleweki na atakuja kukuumiza baadae!
 

Ukisoma hizo REDS utaona jinsi alivyokudharau.
Asikudanganye mtu kwamba eti wanawake wanasubili kupendwa tu.
Mimi nimeshawahi kukutana na situation kama yako, na mwisho wa safari ilikuwa ni kupewa card ya mchango wa harusi yake.
Yaani majibu yake yana maana kwamba UPO RIZEVU LIST tena wa mwisho.
2yrs ni muda mrefu sana kwa mwanamke anayekupenda au mwenye hisia za mapenzi za kweli kwako ashindwe kuthibitisha upendo wa kweli kutoka moyoni mwake.
 
Jiulize, kwanini kila ukimuuliza kuhusu mapenzi majibu yanakuwa mengi??? Mara nina mtu, mara subili nimalize kusoma, mara anachukia mapenzi, mara i dont love to be yours, mara hafikirii kuingia ktk mapenzi???????? She sounds weird!!!!!
Hata hiyo kusubili amalize kusoma apate kazi ni sababu ya kuiga tu, maana ukiangalia mtiririko wa majibu yake inaonyesha hilo jibu ameazima tu.

Mkuu, onyesha kwamba wewe ni mwanaume.
Usijidanganye kwamba ukimbembeleza ndo utampata kiurahisi
Wanawake hata wasome vipi, bado wanapenda sana wanaume wenye misimamo imara na wasiobabaishwa ktk mambo yao na ambao wataongoza safari ya maisha ya mwanamke ktk mahusiano. Na wanajua wanaume hao ndio watakaokuja kujenga familia imara ktk ndoa.
 
mhm??? Hajawai, inavyooneka uyo msichana akuamini japo anakupenda, nakupa rule number one mkumbuke anapokukumbuka, usiwe mwepesi wa kujibu mesegi zake, rule number two mawasiliano yawe kwenye simu akikupotezea mpotezee,
 
mhm??? Hajawai, inavyooneka uyo msichana akuamini japo anakupenda, nakupa rule number one mkumbuke anapokukumbuka, usiwe mwepesi wa kujibu mesegi zake, rule number two mawasiliano yawe kwenye simu akikupotezea mpotezee,

nakubaliana na wewe, iman yake kwangu ndogo, kwani amewah uliza kwan huku chuo nimekosa kabisa msichana?
 
Binafsi nimemfurahia huyo binti, mwanzoni nilidhani aliwahi kuwa na mahusiano na mwanamume kisha akatendwa ndo maana alichukia mapenzi kumbe ni malengo yake tu ndo yanamfanya asijiingize kwenye huo mwenendo.

Mkuu jiulize kwanini unampenda huyo binti na mwisho wake utakuwa ni nini, kama unampenda kutoka moyoni basi utaweza kumuelewa na kumheshimu yeye na maamuzi yake. Unaweza kumvumilia kama unalenga kuishi naye kama mama watoto wako na hivyo lazima usikilize na uheshimu maamuzi yake. Kama unampenda kwa ajili ya kummega tu kisha umteme baada ya kufanya USED, basi hufai na hiyo tamaa yako ya zinaa.
 

nina lengo la kumuoa na si vinginevyo, nampenda kutoka moyoni.
 
nimeipenda hiyo
 
oyaa, komaa ule mzigo, akienda chuo unadhani atapona na malecture wetu wa kibongo walivyo viwembe...nadhani uko chuo huwa unasoma mchezo unavyoenda....!
 
Listen"Atraction has no choice"huyo dogo hujamvutia anachoongea ni hisia tu kumbuka in rlshp" WOMEN DONT MAKE SENSE"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…