Kitendo cha Simba SC si tu Kushinda Mechi ya leo bali na Kuchukua Ubingwa wa ASFC ni psychological blow kwa Haji Manara.
Kitendo cha Haji Manara kuja na Clips au zile Voice Notes zake ni kwamba alishajua ameshashtukiwa na Usaliti wake kwa Simba SC hivyo alikuwa anatafuta Huruma ya Mashabiki huku pia akijua tena akiwa na uhakika kuwa Ramani ya Vita aliyowauzia Yanga SC Siku ya Jumanne alipoenda Kisiri Kigamboni leo ingefanikiwa na Yanga SC ingeifunga tena Simba SC.
Ushindi wa Simba SC umemfanya Haji Manara aonekane kuwa ni kweli alikuwa akiisaliti Simba SC kwa Yanga SC kwa Kuwauzia Ramani ya Vita na sasa hata akisema aitishe Press Conference ya Kuichamba Simba SC na kutaka Kujisafisha kwa Watu itakuwa ni Kazi bure, hatosikilizwa na tena ndiyo atazidi Kudharaulika na Kuchukiwa na Mashabiki wa Simba SC.
Kitendo cha CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez Kunyamaza na kutotaka kabisa Kumjibu Haji Manara ni Pigo Takatifu kwa Kwake Haji kwani dhumuni Kuu la Haji ni kuona CEO akiingia katika Mtego wako wa Uswahili alionao Haji Manara na kutaka Malumbano na Majibizano nae ila CEO Barbara kaonyesha how Smart She is in Corporate World huku Haji Manara sasa akionekana si tu ni Mwendawazimu bali ni Mpumbavu tu kabisa.
Kitu pekee ambacho kwa sasa Haji Manara anaweza Kufanya ni Kuwaomba Radhi wana Simba SC wote, CEO Barbara Gonzalez na Mwandishi wa Habari Prisca Kishamba kisha aachane na Simba SC Kiutendaji na abakie tu kuwa Mwanachama na Mpenzi wa Kawaida kama wengine ila akae akijua tu kuwa ameshadharaulika karibia na 85% ya wana Simba SC wanaojitambua ila 15% ya Wanafiki wenzake bado watampenda na hata Kumuamini.