Haji Manara akijenga hoja na kujipinga mwenyewe

Haji Manara akijenga hoja na kujipinga mwenyewe

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
 
HAJI MANARA AKIWA SIMBA ALIMALIZA MANENO YOOOTE.

Akasema wenye akili ni wawili...

Hakuchoka hakuishia hapo akasema simba ni GIANT WA SOKA TANZANIA IMEZIFUNGA TIMU ZOTE. NA JUZI TUMEONGEZA WYDAD KWA MKAPA.

AKAMALIZIA VIONGOZI WA YANGA PALE WALIPO KWENYE CHUUUP ZAO WANA..................
 
Duhh! Huyu jamaa hana aibu kabisa maana akiwa simba alisema mengi ambayo leo hii anahangaika kuyakanusha.
 
HAJI MANARA AKIWA SIMBA ALIMALIZA MANENO YOOOTE.

Akasema wenye akili ni wawili...

Hakuchoka hakuishia hapo akasema simba ni GIANT WA SOKA TANZANIA IMEZIFUNGA TIMU ZOTE. NA JUZI TUMEONGEZA WYDAD KWA MKAPA.

AKAMALIZIA VIONGOZI WA YANGA PALE WALIPO KWENYE CHUUUP ZAO WANA..................
Baadae mmegundua nyie ndio hamna akili sasa kumbe mlikua mna aminishwa ujinga
 
Halafu ni kama amekongoloka, au macho yangu?
Umri, ukichanganya na sekeseke za TFF, wachambuzi, wafanyakazi wenzake Yanga, wake zake wanaomuacha nk. Haya mambo presha haitakuacha, si ulisikia alisema mwenyewe kuhusu kuzimia mara kadhaa? 😀
 
Back
Top Bottom