Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu si ndio aliwaambia Yanga wenye akili ni wawili mka amini na mkayabeba maneno yake! Finally mmegundua nyie ndio hamna akili
Baadae mmegundua nyie ndio hamna akili sasa kumbe mlikua mna aminishwa ujingaHAJI MANARA AKIWA SIMBA ALIMALIZA MANENO YOOOTE.
Akasema wenye akili ni wawili...
Hakuchoka hakuishia hapo akasema simba ni GIANT WA SOKA TANZANIA IMEZIFUNGA TIMU ZOTE. NA JUZI TUMEONGEZA WYDAD KWA MKAPA.
AKAMALIZIA VIONGOZI WA YANGA PALE WALIPO KWENYE CHUUUP ZAO WANA..................
Halafu ni kama amekongoloka, au macho yangu?
Uzee.Halafu ni kama amekongoloka, au macho yangu?
Umri, ukichanganya na sekeseke za TFF, wachambuzi, wafanyakazi wenzake Yanga, wake zake wanaomuacha nk. Haya mambo presha haitakuacha, si ulisikia alisema mwenyewe kuhusu kuzimia mara kadhaa? 😀Halafu ni kama amekongoloka, au macho yangu?
Huyu si ndiyo role model wenu! Pambaneni naye wenyewe. Sisi mashabiki wa Yanga akili zetu zote ni kwenye nusu fainali, na pia kusubiria ubingwa wetu wa NBC.