Haji Manara alivyotoa chozi jana kuwalilia viongozi wake!

Mimi ni Simba damu lakini kwanini huyu haji asiunganishwe na yeye kwenye hiyo kesi??

Mpuuzi sana huyu haji, aliwe
Kama ni mwizi aende tu Mkuu wamefilisi timu yetu hawa
 
Wakati Manji anasulubiwa yeye kwake ilikuwa kicheko hakujua kuwa dunia haina mwenyewe. Mzee wa kaya ni noma. arejee klabuni akakomae na usajili wa NIYOO
Niyo tayari Mkuu. Yeye asubiri Kama alishiriki wizi ajiandae
 
Eiseee!hi kali
 
Mimi siamini kama Manara alikuwa anasononeka kutoka moyoni. Huyu bwana ni genuine mwanaSimba na mwanamichezo. Aliwahi kusema kuwa pesa za Okwi zingekuja zingepelekwa kwenye Uwanja Bunju.

Lakini alinyamazishwa kabla pesa kuingia. Cha ajabu pesa za Okwi kuingia tu kwenye akaunti ya SSC hata siku mbili hazikupita pesa yote ikahamishiwa kwa Aveva. NINA UHAKIKA Manara hakuridhika na hilo.

Sasa kwa nini alie kiukweli??? Mafisadi wanashughulikiwa. Nasikitika Kassim Dewji hayupo. Naamini it is a matter of time naye atawafuata Aveva na Kaburu. Hawa watu wako SSC kwa maslahi yao sio ya Club
 
Ila Bongo kwa figisu figisu hatujambo, yaan watu walikuwa wanasubiriwa kipindi cha uchaguzi tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chaaa!! Yaan ukisepetuka tu kidogo unapigwa mwanaukome kudadeki, unaambiwa ulikuwa unazifua noti kwa kutumia Jiki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Huyo sio manara hebu mtizame vizuri,manara ana mwili mdogo ila huyo jamaa anayelia ana mwili mkubwa njemba kabisa
 
Huyo sio manara hebu mtizame vizuri,manara ana mwili mdogo ila huyo jamaa anayelia ana mwili mkubwa njemba kabisa
Ndiye mwenyewe huyo, ila amefura (amenenepa) kwa kwikwi za kilio. Ukilia au kwenda chafya lazima unatanuka mapafu na kwa hivyo mwili unavimba kidogo!
 
Huyu jamaa tangu apige kampeni za Kung'olewa kibao cha Victor Wanyama Pale Kinesi sina hamu nae kabisa
 
Kukatisha fedha ndio jambo gani hilo...??
Mimi mgeni hapo.
 
Analilia walanguzi, Lazima nae alikua anapata ulaji
 
Analilia walanguzi, Lazima nae alikua anapata ulaji

Mwanasimba wa kweli anafurahia hawa mafisadi wa pesa zao kukamatwa na kufikishwa kwenye sheria japokuwa hawataweza kuzirudisha. Kwa jinsi walivyotumia nguvu kubwa kuingia madarakani wakikumbatiwa na yule mwanasheria lazima walikuwa na lengo la kuchuma ndani ya Simba na sasa inawatokewa puani. Nashangaa Kassim Dewji hajakamatwa naye.
 
Hongera zenu viongozi wa
Yanga fc.na timu nyingine zoote za mpira
hapa nchini.
ni timu ya Simba sc, pekee ndiyo yenye walakini wa mahesabu ya fedha.
kasiro zinaonekana ktk viongozi wa simba pekee kati ya timu zoote zinazo shiriki ligi ya Tanzania.
Ni ajabu na kweli.
Ni ajabu ya kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…