Haji Manara amewahi kucheza Soka?

Haji manara kazaliwa Amsterdam Uholanzi, usimchukulie poa alipiga Moja ya point Saba o .level. Huyu jamaa kakipiga Nzumbe special school Advanced level. Pia Mwamba ni kichwa sana watu hawaelewi tu. Kuhusu mpira jamaa hajawahi kucheza popote professional football labda Amateur
 
Baada ya Mzumbe Advance akaenda kusomea wapi masomo ya Chuo Kikuu au akaishia hapo hapo?
 
Mkuu labda umesahau alipotoka mzumbe alienda Ilboru Arusha na Pale ndo alipoanza kujihusisha na soka.

Kama unaikumbuka kuna mechi moja alichezea AFC ya Arusha alipiga Kross alafu akaiwahi mwenyewe akaenda piga kichwa akaweka kambani.
 
Haji amesoma madrasa tu na akawa mwalimu wa madrasa
 

Hii vipi nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…