Yap ni mnywa nyuka mwenzetu pembezoni mwa mlima Mongwe palipokuwa pameshamiri ugonjwa wa Zongweliasis.Haji manara kazaliwa Amsterdam Uholanzi, usimchukulie poa alipiga Moja ya point Saba o .level. Huyu jamaa kakipiga Nzumbe special school Advanced level. Pia Mwamba ni kichwa sana watu hawaelewi tu. Kuhusu mpira jamaa hajawahi kucheza popote professional football labda Amateur
De bruyne na Scholes vipi waoKwa ulemavu wake ule hawezi kucheza hata netball
Maswali mengine sio ya kuuliza great thinkers.
Enzi za Azimio la ArushaMkuu labda umesahau alipotoka mzumbe alienda Ilboru Arusha na Pale ndo alipoanza kujihusisha na soka.
Kama unaikumbuka kuna mechi moja alichezea AFC ya Arusha alipiga Kross alafu akaiwahi mwenyewe akaenda piga kichwa akaweka kambani.
LABDA ULEVI PALE MAGOMENI NANI ASIYE MFAHAMU TULIOPO MAGOMENIHuyu Mwamba amewahi kucheza Soka enzi zake?
Naikumbuka hii spana ilimkalisha chini Haji hajawahi kujaribu tena ligi na Kigogo kwani Kigogo alipiga pale paale penyewe juu ya affair yake na Mzee Tozi wa bandarini.Baada ya Manara kusema Kigogo kama yeye ni
Mwanaume ajitokeze hadharani sio anakosoa
akiwa amejificha,
Kigogo amemjibu kwa kuandika
"Manara nazisikia sana kelele zako! Kabla
sijakufyatua jikumbushe yafuatayo;
unamkumbuka yule mzee Tozi aliyefadhili
kampeni zako za udiwani 1995?
unakumbuka alikuwa anawafanya nini wewe
, Ante na Mopiza?
Sasa endelea na hizo ngenga zako utapata
unachokitafuta mdogo wangu.
Muulizeni Manara kwa nini anakaa tako moja"
Mwenye ile picha ya Manara amekamatwa kwa utapeli aitume hapa.
Alipoanza kujihusisha na ccm mambo yakaanza kubadilikaJamaa alikua vizur kichwani sijui imekuaje tena