Haji Manara amsifia RC Amos Makalla

Haji Manara amsifia RC Amos Makalla

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Alichokiandika Haji Manara

Mungu aendelee kukubariki Rais Wetu mpendwa Mama Samia Suluh Hassan kwa kutupatia Mkuu huyu Mwadilifu wa Mkoa Mh Amos Gabriel Makalla .

Ukiacha majukumu yake makubwa kama RC, kuna Jambo linatufurahisha sana toka Kwa huyu Kada Mtiifu wa CCM,,Nowadays Hatufokewi hovyo kila Saa.

Hatuambiwi tuamke alfajiri kufagia wala hatulazimishwi kupimwa Tezi Dume.

Mambo Ya Shisha kama Dubai tu, Kutuitia Wake Zetu maofisini Kwa RC ,Now hatuyaoni kabisa Mama.

Mh Rais, Watu wa Jiji hili hatupendi kusimangwa simangwa na kufokeana, RC Makala anazijua Mila,Desturi na Tamaduni za Jiji hili la Waungwana,,Anatuongoza Kwa Silka za Kidarisalama.

Imagine, Dar Sasa hivi usafi mitaani umeongezeka , Na wala RC wetu haringi na hana mbwembwe za kuita Press za kila Siku, anafanya mambo kimya kimya bila mipasho wala kutisha Wasaidizi wake.

Tunakushukuru sana Rais Wetu kwa hii zawadi ya huyu Mtoto wa Mjini kutuongezea Hadhal Balad , Yeye na MADC wake wanaupiga kisawa sawa.
Screenshot_20220916-191858_Instagram.jpg
 
Unafiki ni kitu kibaya sana ,Ogopa sana mtu mnafiki .Na hawa ndio wanafanya viongozi juu wanaona maisha yanakwenda vizuri huku kitaani mambo Magumu .Niwatakie mapambano mema na Panya Road
 
Manara inabidi ajitambue nae, kuna kundi kubwa la wanachama fulani hawampendi sasa haoni akiongeza na ukweli kama huu chuki zitazidi?!!!! Au anataka kutuambia kuwa kwa umri ule hajui ni jinsi gani ukweli haupendwi bongo?!!!!
 
Alichokiandika Haji Manara

Mungu aendelee kukubariki Rais Wetu mpendwa Mama Samia Suluh Hassan kwa kutupatia Mkuu huyu Mwadilifu wa Mkoa Mh Amos Gabriel Makalla .

Ukiacha majukumu yake makubwa kama RC, kuna Jambo linatufurahisha sana toka Kwa huyu Kada Mtiifu wa CCM,,Nowadays Hatufokewi hovyo kila Saa.

Hatuambiwi tuamke alfajiri kufagia wala hatulazimishwi kupimwa Tezi Dume.

Mambo Ya Shisha kama Dubai tu, Kutuitia Wake Zetu maofisini Kwa RC ,Now hatuyaoni kabisa Mama.

Mh Rais, Watu wa Jiji hili hatupendi kusimangwa simangwa na kufokeana, RC Makala anazijua Mila,Desturi na Tamaduni za Jiji hili la Waungwana,,Anatuongoza Kwa Silka za Kidarisalama.

Imagine, Dar Sasa hivi usafi mitaani umeongezeka , Na wala RC wetu haringi na hana mbwembwe za kuita Press za kila Siku, anafanya mambo kimya kimya bila mipasho wala kutisha Wasaidizi wake.

Tunakushukuru sana Rais Wetu kwa hii zawadi ya huyu Mtoto wa Mjini kutuongezea Hadhal Balad , Yeye na MADC wake wanaupiga kisawa sawa.
View attachment 2358936
Huyo zeruzeru hamnazo! Makayla kafanya nini cha maana Dar? Kaka tu solo la kariakoo na karume yakaungua na kuteketea pia panga road wanasumbua kila siku! Manara akikutana na huyu mzee wa boringo baa mnajiona mmemaliza maisha! Kuhusu shisha nalo ni jambo la kushabikia kweli? Manara ashakuwa taahira huyo! Very stupid anaendeshwa na mihemko!
 
Back
Top Bottom