Haji Manara anahitimisha Mechi ya Karne Yanga vs Simba Nyamagana1974

Haji Manara anahitimisha Mechi ya Karne Yanga vs Simba Nyamagana1974

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
HM: MECHI YA KARNE YANGA NA SIMBA NYAMAGANA HITIMISHO

Haji Manara anashusha pazia kwa kueleza makubwa yaliyotokea Nyamagana mapema tu mechi ilipoanza kwa kuumia kwa Saad Ally.

Hapajapata kutokea ajali ndani ya uwanja wa mpira Tanzania iliyoathiri hisia za washabiki wa mpira kama siku ile Saad Ally alipogongana Gibson Sembuli na Saad akatolewa uwanjani hana fahamu.

Hili lilikuwa pigo kubwa kwa Simba.

HM ameahidi kipindi kizima kwa hili peke yake.

Msikilize HM akikuingiza ndani ya Uwanja wa Nyamagana mwaka wa 1974 na kukuweka viti vya mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HM: MECHI YA KARNE YANGA NA SIMBA NYAMAGANA HITIMISHO

Haji Manara anashusha pazia kwa kueleza makubwa yaliyotokea Nyamagana mapema tu mechi ilipoanza kwa kuumia kwa Saad Ally.

Hapajapata kutokea ajali ndani ya uwanja wa mpira Tanzania iliyoathiri hisia za washabiki wa mpira kama siku ile Saad Ally alipogongana Gibson Sembuli na Saad akatolewa uwanjani hana fahamu.

Hili lilikuwa pigo kubwa kwa Simba.

HM ameahidi kipindi kizima kwa hili peke yake.

Msikilize HM akikuingiza ndani ya Uwanja wa Nyamagana mwaka wa 1974 na kukuweka viti vya mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haji Manara(HM) na Mechi ya Karne Yanga na Simba Nyamagana 1974 - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuwepo uwanjani. Halafu haelezi yeye amezitoa wapi hizo habari.
 
Hakuwepo uwanjani. Halafu haelezi yeye amezitoa wapi hizo habari.
Kobello,
Si tu kuwa Haji Manara hakuwapo uwanjani alikuwa hata kuzaliwa bado.

Kama mwandishi alichokifanta ni kufanya utafiti na katumia primary na secondary sources.

Huu utafiti ndiyo uliomwezesha kutayarisha hivi vipindi viwili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kobello,
Si tu kuwa Haji Manara hakuwapo uwanjani alikuwa hata kuzaliwa bado.

Kama mwandishi alichokifanta ni kufanya utafiti na katumia primary na secondary sources.

Huu utafiti ndiyo uliomwezesha kutayarisha hivi vipindi viwili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakufanya utafiti, kahadithia Kama alikuwepo vile. Sorry
 
Back
Top Bottom