Jayden News
Member
- Aug 28, 2022
- 29
- 94
Hoja hujibiwa kwa hoja,nae hoja zake zina mashiko.“Hata haieleweki kimejibiwa kitu gani? Na kwa nini Issue ya Yanga uharaka wa kujibu unakuwa mkubwa mno?”
“Kanuni hizi hizi zilizombadilisha Chikwende Kwa Kahata?Kanuni hizi hizi zilizomhalalisha Kibu kucheza bila kupata uraia?
Safari hii atawanyoosha mpaka mkome. Na uzuri alikuwa ni mwenzenu. Na hata huo mdomo wake mchafu ametoka nao huko huko kwenu! Hivyo hamna cha kumfanya, zaidi tu ya kugugumia maumivu.Haji afungiwe duniani na mbinguni kuongea taarifa za soka la Tanzania.😂😂😂😂😂
Sisi hatuhusu aisee!Tunamsikiliza kidogo yeye halafu tunamuangalia pale Karia anasemaje!Mambo ni wagadaa.😂😂😂😂Safari hii atawanyoosha mpaka mkome. Na uzuri alikuwa ni mwenzenu. Na hata huo mdomo wake mchafu ametoka nao huko huko kwenu! Hivyo hamna cha kumfanya, zaidi tu ya kugugumia maumivu.
Kariaaa...Kariiiiaaa!Njoo uone huku.😂😂😂Haji anatamba kuwa kuanzia sasa atafanya kazi yake kama msemaji wa Yanga bila kuhofia adhabu feki aliyopewa na wahuni wa TFF na cha kumfanya hawana
Jibu lake ni kwamba sio kanuni hizo hizo. Huo ulikuwa ni mwaka 2021 na kanuni zilikuwa nyingine (wachezaji 10 wa ligi na wachezaji 12 wa CAF). Kanuni za mwaka huu wachezaji 12 wa ligi na CAF ni wengi zaidi, lakini ni lazima useme nani atacheza ligi tu na nani atacheza ligi na CAF.Hoja hujibiwa kwa hoja,nae hoja zake zina mashiko.
Kuna siku litampata la kumpataManara anaposema kwa sheria hizi hizi kwanini asituwekee matoleo ya hizo sheria tuzione? anakwepa nini?
Halafu badala yake anaenda kuzungumzia uraia wa Kibu ambao TFF walishajiridhisha ni mtanzania? au Manara ndie kamzaa Kibu Denis?
Listen, Manara ni mjinga, anayeongoza kundi la wapumbavu mitandaoni.
Kuliko Yanga mkuu??ila TFF ina wapumbavu wengi mno
Sidhani kama wanazidi wale wa utopolo.ila TFF ina wapumbavu wengi mno
Huyu hapaKariaaa...Kariiiiaaa!Njoo uone huku.😂😂😂
Hata yeye huyo Manara yawezekana ni mrundi .Manara anaposema kwa sheria hizi hizi kwanini asituwekee matoleo ya hizo sheria tuzione? anakwepa nini?
Halafu badala yake anaenda kuzungumzia uraia wa Kibu ambao TFF walishajiridhisha ni mtanzania? au Manara ndie kamzaa Kibu Denis?
Listen, Manara ni mjinga, anayeongoza kundi la wapumbavu mitandaoni.
Kambole,halafu kwanini majina walipeleka CAF wakati dirisha la usajili Tanzania halijafungwa??Jibu lake ni kwamba sio kanuni hizo hizo. Huo ulikuwa ni mwaka 2021 na kanuni zilikuwa nyingine (wachezaji 10 wa ligi na wachezaji 12 wa CAF). Kanuni za mwaka huu wachezaji 12 wa ligi na CAF ni wengi zaidi, lakini ni lazima useme nani atacheza ligi tu na nani atacheza ligi na CAF.
Usipotaja kwa jina TFF wanakata mwisho wa mstari. Simba iliweka wazi kwamba Kahata anatolewa kwenye ligi na anabaki CAF tu, na nafasi yake inachukuliwa na Chikwende. Niambieni ni mchezaji gani ambaye uongozi wa Yanga (sio Manara) umesema ulielekezwa akatwe
kabisa mkuu, ila ndo mabingwaYanga wote ni wapumbavu