Haji Manara aropokwa tena sakata la Tuisila Kisinda

Kwa hyo anakubali kuwa kanuni na sheria zina wabana.ila wanataka wasaidiwe kama walivyosaidiwa Simba?
Tatizo mnasahau mapema.
 
“Hata haieleweki kimejibiwa kitu gani? Na kwa nini Issue ya Yanga uharaka wa kujibu unakuwa mkubwa mno?”

“Kanuni hizi hizi zilizombadilisha Chikwende Kwa Kahata?Kanuni hizi hizi zilizomhalalisha Kibu kucheza bila kupata uraia?
Hatuna muda wa kujibu wapumbavu sie... Huyo kiboko yake ni Karia
 
Kambole,halafu kwanini majina walipeleka CAF wakati dirisha la usajili Tanzania halijafungwa??
Kwasababu wachezaji 12 wanaotakiwa walikuwa wameshatimia na kujiridhisha kwamba ndio watakaotumika kabla kisinda hajaja yanga.
 
Kambole,halafu kwanini majina walipeleka CAF wakati dirisha la usajili Tanzania halijafungwa??
CAF wana deadline yao, tatizo hamjui kwa kuwa huwa hamshiriki. Onyesha mahali ambapo uongozi wa Yanga umetaja jina la Kambole likatwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…