Haji Manara asiwe mhasimashaji wa Stars, amesababisha washabiki wachache sana leo

Haji Manara asiwe mhasimashaji wa Stars, amesababisha washabiki wachache sana leo

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Haji Manara, semaji la mabingwa wapya nchini Yanga wanaosubiri kutawazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo, jana alikuwa na mambo mawili kwa wakati mmoja, kwanza alianza kuhamasisha watanzania kwenda kwa wingi uwanjani kuishuhudia Stars ikikabiliana na Algeria Leo, pili alikuwa akijigamba kuwa Yanga imeingiza bilioni 1 kwa miezi 6 ktk mradi wao, tena alikuwa akiongea utadhani anagombana na mtu.

Leo watu wamelalamika sana kuhusu idadi ya watu waliokwenda uwanjani kuwa haikuwa ikiridhisha hasa ukizingatia kuwa ilikuwa inacheza nchi, inashangaza kwann zikicheza Simba au Yanga tena usiku watu wanajaa, lkn kwa Stars haikuwa hivyo.

Sababu kubwa iliyofanya watu wajitokeze wachache ni Haji Manara, tangu ahamie Yanga washabiki wengi wa Simba wametokea kumchukia sana, hata wale wachache wa Yanga hawamuamini, wanamuona ni samjo samjo sana, Manara amepoteza mvuto, anapoongea anadhani kutukana au kuisema vby Simba ndio kupata followers au ndio nn sijui, jana press yake wengi hawakuhamasika, hata kesho Burundi vs Cameroon ambapo amepewa ubalozi wa kupromote hali itakuwa vile vile, nashauri Ili Stars ipate hamasa kubwa basi wamweke pembeni Manara maana uwepo wake umewagawa wengi na ss hv ameongeza chuki badala ya upendo.

Ni ushauri wangu tu.
 
Jana nilisema hiyo timu nataka ifungwe ,nitajieni posho za wachezaji unalalamika nini
 
Ni ujinga wa mashabiki kuweka chuki zao dhidi ya mtu wa kawaida na kupeleka chuki hizo kwenye timu ya taifa. Au watanzania hatujui maana ya moyoni ya neno taifa? Rejea vikundi vinavyopigana na israeli.. Linapokuja swala la "kwa maslahi ya taifa" vikundi hivyo husimama pamoja
 
Haji Manara, semaji la mabingwa wapya nchini Yanga wanaosubiri kutawazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo, jana alikuwa na mambo mawili kwa wakati mmoja, kwanza alianza kuhamasisha watanzania kwenda kwa wingi uwanjani kuishuhudia Stars ikikabiliana na Algeria Leo, pili alikuwa akijigamba kuwa Yanga imeingiza bilioni 1 kwa miezi 6 ktk mradi wao, tena alikuwa akiongea utadhani anagombana na mtu.

Leo watu wamelalamika sana kuhusu idadi ya watu waliokwenda uwanjani kuwa haikuwa ikiridhisha hasa ukizingatia kuwa ilikuwa inacheza nchi, inashangaza kwann zikicheza Simba au Yanga tena usiku watu wanajaa, lkn kwa Stars haikuwa hivyo.

Sababu kubwa iliyofanya watu wajitokeze wachache ni Haji Manara, tangu ahamie Yanga washabiki wengi wa Simba wametokea kumchukia sana, hata wale wachache wa Yanga hawamuamini, wanamuona ni samjo samjo sana, Manara amepoteza mvuto, anapoongea anadhani kutukana au kuisema vby Simba ndio kupata followers au ndio nn sijui, jana press yake wengi hawakuhamasika, hata kesho Burundi vs Cameroon ambapo amepewa ubalozi wa kupromote hali itakuwa vile vile, nashauri Ili Stars ipate hamasa kubwa basi wamweke pembeni Manara maana uwepo wake umewagawa wengi na ss hv ameongeza chuki badala ya upendo.

Ni ushauri wangu tu.
Wampe bongo zozo! Haji amekinai
 
Wampe bongo zozo! Haji amekinai
Ni kweli mkuu hii kazi ya kuhamasisha watanzania ni bora wampe bongo zozo.Haji Manara anapambana kujaribu kujihalalishia kwamba yeye ndiye aliinua Simba na sisi wanaSimba hatutaki kabisa abebe huo utukufu maana tulikuwa Simba kabla hatujamjua Manara.

Hamasa imekuja kwa sababu ya mchezo mzuri na Azam media kuonesha mechi live.Mtu wa kujisifu hapa ni watu wa Azam media
 
Acha unafiki ndugu yangu watanzania ni lini mlikuwa na moyo wakuishangilia timu yenu?
 
Haji Manara, semaji la mabingwa wapya nchini Yanga wanaosubiri kutawazwa muda wowote kuanzia wiki ijayo, jana alikuwa na mambo mawili kwa wakati mmoja, kwanza alianza kuhamasisha watanzania kwenda kwa wingi uwanjani kuishuhudia Stars ikikabiliana na Algeria Leo, pili alikuwa akijigamba kuwa Yanga imeingiza bilioni 1 kwa miezi 6 ktk mradi wao, tena alikuwa akiongea utadhani anagombana na mtu.

Leo watu wamelalamika sana kuhusu idadi ya watu waliokwenda uwanjani kuwa haikuwa ikiridhisha hasa ukizingatia kuwa ilikuwa inacheza nchi, inashangaza kwann zikicheza Simba au Yanga tena usiku watu wanajaa, lkn kwa Stars haikuwa hivyo.

Sababu kubwa iliyofanya watu wajitokeze wachache ni Haji Manara, tangu ahamie Yanga washabiki wengi wa Simba wametokea kumchukia sana, hata wale wachache wa Yanga hawamuamini, wanamuona ni samjo samjo sana, Manara amepoteza mvuto, anapoongea anadhani kutukana au kuisema vby Simba ndio kupata followers au ndio nn sijui, jana press yake wengi hawakuhamasika, hata kesho Burundi vs Cameroon ambapo amepewa ubalozi wa kupromote hali itakuwa vile vile, nashauri Ili Stars ipate hamasa kubwa basi wamweke pembeni Manara maana uwepo wake umewagawa wengi na ss hv ameongeza chuki badala ya upendo.

Ni ushauri wangu tu.
Ni Sawa na Zito, Yaani kila akiitembelea timu hii huwa inapoteza mechi[emoji38][emoji38]
 
Unamuonea tu haji manara, timu yetu mbovu hata kabla ya mechi matokeo watu walikua nayo kwahiyo hawakuona umuhimu wa kwenda. Watanzania ni watu wa matokeo mazuri timu ikiboronga hawajitokezi viwanjani!

Hata vibanda umiza tu ambako watu tunalipa buku au jero lakini watu hatuendi sembuse uwanjani unakotumia nauli kwenda na kurudi +kiingilio!

Manara aachwe hata kuhamasisha Simba alifanikiwa wakati timu ilipokua inafanya vizuri miaka ya 2016+ wakati kazi hiyo alianza 2013+ na alifeli Sana.
 
Tuongee Tu Ukweli, na Tuachane na Habari ya Ufupi na Urefu.
.
Algeria ni Bora sana Kuliko Team Yetu ya Taifa.
.
Ubora Wa Algeria na Taifa Star Iko Tofauti Kabisa, Hawafanani Kwa Lolote.
 
Mnambebesha tu Manara lawama ,timu inafanya vibaya utegemee uwanja ujae? Taifa stars ingeinyesha mpira mzuri wa kuwafunga Niger kama goli 3 au 4 halafu wamfunge Algeria kama goli 3 mchezo unaokuja utaona uwanja unajaa , hamna mashabiki wanapenda kwenda uwanjani kuaibika na kupoteza hela zao na mda.
 
Ni ujinga wa mashabiki kuweka chuki zao dhidi ya mtu wa kawaida na kupeleka chuki hizo kwenye timu ya taifa. Au watanzania hatujui maana ya moyoni ya neno taifa? Rejea vikundi vinavyopigana na israeli.. Linapokuja swala la "kwa maslahi ya taifa" vikundi hivyo husimama pamoja
Niliona na Bwire ameandikwa kuwa mhamasishaji wa Taifa star kupitia ITV
 
Mpira na wenyewe unamhamasisha Mtu kwenda kuangalia Kwa matokeo na kiwango kipi?? Taifa Starz ilikuwa na hamasa kipindi Cha maximo, kipindi Cha kina Tegete na akina nsajigwa
 
Back
Top Bottom