Haji manara azimia kabla ya mechi kumalizika

‘Malengo yetu msimu huu ni kufika semis’, sasa wakati Yanga na Azam zikisonga mbele.... Simba watasonga UGALI.
 
Soon mo anaitema timu hatokubali kupata hasara
 
Manara na Mikia yake yote huwa ni Mataahira.
 
Sasa siku ya kutolewa na kale ka timu kakigoma kwenye kombe la tff itakuwaje?maana watafungwa tu hakuna namna na nguvu zao zote wataelekeza kwa timu ya namungo
 
Sasa siku ya kutolewa na kale ka timu kakigoma kwenye kombe la tff itakuwaje?maana watafungwa tu hakuna namna na nguvu zao zote wataelekeza kwa timu ya namungo
Let's wait and see...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…