Kweni bibi foxy anasemajeHaji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu.
Hii ni sawa ndugu zangu waislamu? Binafsi naona haya ni makufuru ya hali ya juu na kuutukana uislam.
Kufuga ndevu ni moja ya maamrisho ya mtume wetu mpendwa.
View attachment 2863226
Nadhani inabidi muangalie na mtu mwenyewe,Haji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu.
Hii ni sawa ndugu zangu waislamu? Binafsi naona haya ni makufuru ya hali ya juu na kuutukana uislam.
Kufuga ndevu ni moja ya maamrisho ya mtume wetu mpendwa.
View attachment 2863226
Ila mna mambo nyie.Kufuga ndevu ni sunnah, sio lazima. Na hapo kajiongelea yeye binafsi sioni kosa zaidi ya complications zako.
Huyu Manara anadhalilisha uislamNadhani inabidi muangalie na mtu mwenyewe,
Manara na uislamu wapi na wapi??
As long as kaongea yeye na hana uwakilishi/nembo ya dini basi aachwe yeye mwenyewe na ujinga wake.
Kwa anayofanya manara na uislamu havifanani hata kidogo, hivyo kauli zake sio za kuzichukulia kama kasema mtu anayeutambua uislamu.
usichukue Kitu Kama Kilivyo Kufuga Ndevu Sio Amri Katka Uislamu Ni SunnaMmmmh nilidhani kufuga ndevu ni swaga kumbe ni amri?Asante Kwa kunijuza mkuu,na vuzi Je linanyolewa au linaachwa limee
Kwanini mnajadili ujinga usio na msaada hata kwake yeye mwenyewe aliyeamua kutaniana na mkewe?Haji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu.
Hii ni sawa ndugu zangu waislamu? Binafsi naona haya ni makufuru ya hali ya juu na kuutukana uislam.
Kufuga ndevu ni moja ya maamrisho ya mtume wetu mpendwa.
View attachment 2863226
TakbiiiiirHaji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu.
Hii ni sawa ndugu zangu waislamu? Binafsi naona haya ni makufuru ya hali ya juu na kuutukana uislam.
Kufuga ndevu ni moja ya maamrisho ya mtume wetu mpendwa.
View attachment 2863226
Zungu hajielewi.Haji Manara mi mwalimu wa madrassa na pia ameenda Umra, leo katika mitandao yake ya kijamii, amefananisha kufuga ndevu kwamba ni kufanana na beberu la kihutu.
Hii ni sawa ndugu zangu waislamu? Binafsi naona haya ni makufuru ya hali ya juu na kuutukana uislam.
Kufuga ndevu ni moja ya maamrisho ya mtume wetu mpendwa.
View attachment 2863226
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahHili jambo ni zito sana, sio jepesi, nchi nyingine anapigwa dua ya Albadir