Pisi ya kwendaaaaa[emoji39]View attachment 2369514
Wewe ni mmoja kati ya waliofuatwa DM, ni admin wa account yake, au rafiki wa waliofuatwa dm?Huyu mwamba hanaga baya.
Michongo yote anapata insta kama kawaida akipost kitu anaangaliaangalia waliocoment halafu anazama DM.
Gwiji wa kariakoo bingwa kabisa afrika mashariki na kati anaitwa zee la kudaka michongo insta.
Hawa ndio wazee wa kutambaa na fursa maana huo unaelezwa ni mchongo watatu kudaka insta bila kikwazo.
Ataachika tuu, tena kabla ya 2025
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ataachika tuu, tena kabla ya 2025
Ati 2025? Huko kote sema mwakani.Ataachika tuu, tena kabla ya 2025
Msimuombee mabayaAti 2025? Huko kote sema mwakani.
FebAti 2025? Huko kote sema mwakani.
Goli la tano hilo mkuu.Kama ni Hat-trick basi hili goli la tatu jamaa kapiga header moja matata sana
Manara ..Hana maajabuHuyu mwamba hanaga baya.
Michongo yote anapata insta kama kawaida akipost kitu anaangaliaangalia waliocoment halafu anazama DM.
Gwiji wa kariakoo bingwa kabisa afrika mashariki na kati anaitwa zee la kudaka michongo insta.
Hawa ndio wazee wa kutambaa na fursa maana huo unaelezwa ni mchongo watatu kudaka insta bila kikwazo.
Rushaynah Salum ATHMANI aka Mrs Buggati nakapenda hka kadadaaa
Kaka mshana jamani[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]!!!!Ataachika tuu, tena kabla ya 2025
Publicity ndo wanataka Hawa wadada na followersWadada siku hizi sio kwa kupenda kiki, sidhani kama hapa kuna mapenzi nawaza tu. Ukiwa na manara ni full kuongelewa mwezi mzima naona ndicho wanachofata