pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Habari zenu wakuu,
Poleni na majukumu na mihangaiko ya kila siku ya kutafuta riziki hasa kipindi hiki cha nchi yetu kuingia uchumi wa kati.
Kwanza nianze kwa kuweka wazi kabisa mimi ni shabiki wa SIMBA SC ila baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na manara ni udhalilishaji na ya kipuuzi kabisa
Baadhi ya posts zake kwenye mitandao ya kijamii ni za kejeli vijembe na dharau kwa watu na team pinzani, baada ya mchezo Kati ya Simba Queen's na yanga aliweka Post ya mwanadada mchezaji wa yanga akiwa chini akiambatanisha na kijembe na picha yake akiwa ameweka emoji kwa nyuma ambayo kwa kawaida ukiangalia hakukuwa na haja ya kufanya vile zaidi ya kutoa matokeo tu ingetosha.
Baada ya mchezo wa juzi Kati ya Simba na yanga mchezo ambao Simba aliibuka na ushindi wa bao 4-1 yanayoendelea kwenye kurasa zake za kijamii na anayoendelea kuyaongea ni kejeli mipasho na dharau kwa team pinzani kitu ambacho hakina ulazima wa yeye kufanya hayo yote.
Hivi ukiwa msemaji wa team ndo unatakiwa ufanye kama mambo anayofanya manara ili uwafurahishe watu hamna njia nyingine cha ajabu kila mtu anafurahia anacho fanya hakuna hata wa kumshauri akiwemo na MO mwenyewe ana support anayofanya manara kwa team pinzani na baadhi ya watu wengine.
Kilichonifanya niandike huu Uzi kuna video amepost manara kwenye page yake ya Instagram ikimuonyesha shabiki wa yanga akiwa anatokwa na haja ndogo wakati wa mechi ya Simba na yanga ya juzi kwa umri na kwa nafasi yake Kuna vitu anakosea Sana kwa influence ambayo anayo kwenye jamii hana mipaka katika Kazi yake.
N.B……… simpangii Cha kupost wala jinsi ya kuishi ni mtazamo tu
Poleni na majukumu na mihangaiko ya kila siku ya kutafuta riziki hasa kipindi hiki cha nchi yetu kuingia uchumi wa kati.
Kwanza nianze kwa kuweka wazi kabisa mimi ni shabiki wa SIMBA SC ila baadhi ya mambo ambayo yanafanywa na manara ni udhalilishaji na ya kipuuzi kabisa
Baadhi ya posts zake kwenye mitandao ya kijamii ni za kejeli vijembe na dharau kwa watu na team pinzani, baada ya mchezo Kati ya Simba Queen's na yanga aliweka Post ya mwanadada mchezaji wa yanga akiwa chini akiambatanisha na kijembe na picha yake akiwa ameweka emoji kwa nyuma ambayo kwa kawaida ukiangalia hakukuwa na haja ya kufanya vile zaidi ya kutoa matokeo tu ingetosha.
Baada ya mchezo wa juzi Kati ya Simba na yanga mchezo ambao Simba aliibuka na ushindi wa bao 4-1 yanayoendelea kwenye kurasa zake za kijamii na anayoendelea kuyaongea ni kejeli mipasho na dharau kwa team pinzani kitu ambacho hakina ulazima wa yeye kufanya hayo yote.
Hivi ukiwa msemaji wa team ndo unatakiwa ufanye kama mambo anayofanya manara ili uwafurahishe watu hamna njia nyingine cha ajabu kila mtu anafurahia anacho fanya hakuna hata wa kumshauri akiwemo na MO mwenyewe ana support anayofanya manara kwa team pinzani na baadhi ya watu wengine.
Kilichonifanya niandike huu Uzi kuna video amepost manara kwenye page yake ya Instagram ikimuonyesha shabiki wa yanga akiwa anatokwa na haja ndogo wakati wa mechi ya Simba na yanga ya juzi kwa umri na kwa nafasi yake Kuna vitu anakosea Sana kwa influence ambayo anayo kwenye jamii hana mipaka katika Kazi yake.
N.B……… simpangii Cha kupost wala jinsi ya kuishi ni mtazamo tu