Haji Manara inakuwaje leo umekuwa mzungumzaji Mkuu kwa kilichotokea na siyo Ali Kamwe wala Hersi Said au hata wana Yanga Waandamizi wenyewe?

Haji Manara inakuwaje leo umekuwa mzungumzaji Mkuu kwa kilichotokea na siyo Ali Kamwe wala Hersi Said au hata wana Yanga Waandamizi wenyewe?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tunajua kuwa unatumia mwanya huu kutaka kuonekana una Uchungu na Yanga SC na unaipenda (wakati si kweli kwani Wewe ni mwana Simba SC lia lia) ili Maamuzi Makali yamhusuyo Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe yakitolewa Wiki ijayo au baadae basi Uongozi wa Yanga SC ukurudishe Wewe katika Usemaji na siyo Jerry Muro ambaye tayari kuna Asilimi fulani za Yeye kuja kuwa Msemaji wa Yanga SC.

Haji Manara malizana Kwanza na Mkeo ambaye hivi karibuni Alikupiga Vibao na hakulala Kwako Wiki na Unywe Dawa Ok?
 
Back
Top Bottom