Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Hii hukumu aliyopewa Leo Manara ni trela tu, ngoma yenyewe ya kuitukana na kuidhalilisha Simba bado hukumu yake haijasomwa.
Hii unayopambana nayo na kutetewa na wajinga wajinga ni ya kumtukana Rais wa TFF, uamuzi wako katika shauri la kuisema vibaya ujue bado sana kaka, mwaka mbaya sana huu kwako.
Hii ya Karia hata ukisamehewa kuna ngoma nzito wewe na Barbra bado haijasomwa, jipangeni.
Hii unayopambana nayo na kutetewa na wajinga wajinga ni ya kumtukana Rais wa TFF, uamuzi wako katika shauri la kuisema vibaya ujue bado sana kaka, mwaka mbaya sana huu kwako.
Hii ya Karia hata ukisamehewa kuna ngoma nzito wewe na Barbra bado haijasomwa, jipangeni.