Haji Manara kwani Umeshtakiwa na Rais wa TFF Wallace Karia au na Sekretarieti ya TFF iliyokushtaki Kamati ya Maadili?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nikisema hujui Kufikiri ( Juha ) pamoja na huyo aliyekusindikiza kwa Rais wa TFF Wallace Karia Jana unakasirika / mnakasirika.

Nakufundisha kwakuwa huna Akili na pia ndiyo tatizo la wana Yanga SC wengi kuwa badala ya kwenda kwa Rais wa TFF Wallace Karia Kumuomba Radhi kwa Upopoma wako ulitakiwa Uiombe Radhi upesi Sekretarieti ya TFF ambayo ndiyo imekupeleka Kamati ya Maadili.

Tena ulivyokurupuka kwenda kwa Rais wa TFF Wallace Karia ndiyo Umeharibu kabisa hivyo anza kujiandaa Kisaikolojia kupokea Adhabu Kali ambayo itakufunza zaidi ili uache Uswahili na Upuuzi wako.
 

Aendelee Kusagiwa Kunguni Mpaka Anuke Mwili Wote

 
Kimanara huwa kinajifanya muchknow sana,sasa acha tu ajambishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…