Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mashaki wa Mnyama, Simba mmemsikia msemaji wenu wa zamani?, Haji Manara akiwa Wasafi Fm amesema Makolo hawatotufunga hadi 2030, Samia atoke Madarakani
"Naomba Watu waelewe Ule wimbo wa 'Yanga inafungwaje' haujaimbwa kwaajili ya Tabora au Timu nyengine ule umeimbwa kwaajili ya 'Makolo' kwahiyo Wananchi Tambeni nao ule wimbo"
"Na niwaambie tu kuwa 'Mokolo' hawatotufunga Yanga hadi mwaka 2030 Rais Samia atakapotoka madarakani"
"Naomba Watu waelewe Ule wimbo wa 'Yanga inafungwaje' haujaimbwa kwaajili ya Tabora au Timu nyengine ule umeimbwa kwaajili ya 'Makolo' kwahiyo Wananchi Tambeni nao ule wimbo"
"Na niwaambie tu kuwa 'Mokolo' hawatotufunga Yanga hadi mwaka 2030 Rais Samia atakapotoka madarakani"