Haji Manara: MO hatakiwi kupata cheo cha urais

Haji Manara: MO hatakiwi kupata cheo cha urais

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Haji Manara awaponda Viongozi wa Simba kumpa Urais wa Heshima Modewj, katika mazungumzo yake anadai kuwa, "Nchi Hii ina watu wa ajabu Kabisa, Wasomi wetu ni hovyo Sana, Hastahili hata Kuwa kiongozi wa Mtaa".

Toka zamani, Haji Manara anapenda sana mpira wa miguu ama ukipenda football. Kumbuka alizaliwa kwa familia ya wanamichezo. Babake kwa jina Sunday Manara aliiwezesha nchi yake kushinda tuzo 43.

Haji naye alifuata nyayo za Babake na alianza kupenda mpira akiwa bado mdogo. Babake Haji Manara ambaye ni Sunday Manara alikuwa anachezea nchi za nje kama vile Austria, Netherlands na USA.

images (19).jpeg
 
Kuhusu kuongoza ajadiliane na ccm wenzake walio mpa ubunge
 
Hivi haji ana personal conflict na MO manake Kila issue inayomhusu MO yeye hujitokeza hadharani kubweka
 
Kiroho yuko simba kimwili yuko yanga na ndio maana kila jambo ambalo linafanyika simba ambalo yeye anaona sio sahihi, huwa analipinga kwa nguvu zote, mfano hili la urais wa heshima.

Yanga wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,,,, isipokuwa kwa sasa yanga wenye akili wameongezeka, yani yeye haji, babaake na kikwete
 
Dewij jitokeze useme wazi huyu ulikua unamgonga mnyeo au Mana anavuka mipaka Simba wameamua yeye analia nn
 
Mfano Simba ikachukua ubingwa tena Haji atakuja kuongea nini?
 
Huwezi kuwa unatumia Dawa za ARV ili uendelee Kuishi kwa Matumaini halafu hapo hapo tena Unavuta Bangi, unakula Mirungi na unashiriki Vitendo vya Sodoma na Gomora ukawa na Ubongo timamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni njaa tu huyu mdomo wake ndo mtaji wa kula hana jipya.
 
Back
Top Bottom