Haji Manara na Shafii wakoseana adabu,warushiana tuhuma nzito nzito

Haji Manara na Shafii wakoseana adabu,warushiana tuhuma nzito nzito

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Baada ya Shafii kuweka hii picha,nusu jezi ya Simba nusu Azam ,aisee Manara amefyatuka kama sijui nini.
IMG_20181117_084958_189.JPG

Huku maneno mazito mazito yakifuata
IMG_20181117_084917_924.JPG
IMG_20181117_084905_110.JPG
IMG_20181117_084847_590.JPG
Manara huwa anapenda sana kuwatania watu hasa Yanga lakini huwa yuko sensitive sana.
 
Manara ni mgonjwa wa akili. Ni jambo la ajabu kabisa taasisi kubwa kama simba kuwa na kiongozi Mwenye LoW IQ kama ya huyo manara.

Hivi tangu lini tetesi za usajili zikawa ni kosa. Kila siku tunasikia Hazard ananyemwelewa na Madrid, Bale anafukuziwa na Manchester united au Lewandoski anahitajika na team nyingine ila hatujawahi kusikia viongozi wa team hizi wakitokwa na maneno ya hovyo kama huyo manara. Sishangai kwanini hivi vilabu vya simba na yanga haviendelei. Huwezi kuendelea ukiwa na kiongozi mwenye akili fupi za kushindwa kuhimili tetesi za usajili.
 
Manara naye anapayuka sana,mbona tetesi kitu cha kawaida kipindi cha usajili.
 
Mimi kama mshabiki wa simba sielewi ni sifa gani alizonazo huyu mbwatukaji hadi kuwa afisa habari wa msimbazi..

Simba mpya lakini bado inakumbatia mambo ya kishamba shamba hivi,,na ndo maana hatuendei kisoka

Transfer speculation ni kitu cha ajabu??
 
Back
Top Bottom