Ni maumivu ambayo hataisahau ,alijawa kiburi ,wakati ule alipovujisha Ile clip kwamba anaonewa babra na mo alidhani atasimamisha wanamsimbazi wamtetee kumvuruga CEO mwisho wa siku akahama yeye ,Manara mpaka Sasa haamini kama yeye ni Yanga ni kama ndotoHaji kufukuzwa Simba imempa maumivu kwenye maisha yake yote kwasababu inaependa Simba ndani ya kina cha moyo wake.
Alimuambia mo dewji ampe milioni 300 akavunje mkataba wa azam,can you imagine jamani kha"Angewalipa Azam milioni 300,000/=" 🤣 🤣
Nchi hii ukiona hata page za umbeya za Instagram na facebook wadau wanakucheka ujue ushadharaulika beyond repair, hii stunt yake ya sasa hivi hata wana utopolo wamemkaushia kimya ni kama wanamshangaa alitaka uongozi wa simba ujibishane naye kitu ambcho hawataki na kinamsumbua sanaUyo ng'ombe pori bado anaweweseka na simba
Shida ni nafsi yake hainaga uvumilivu hata kaa aache kulalama,yupo Yanga kwa maslahi tu ila mapenzi yake bado yapo Simba.Ni maumivu ambayo hataisahau ,alijawa kiburi ,wakati ule alipovujisha Ile clip kwamba anaonewa babra na mo alidhani atasimamisha wanamsimbazi wamtetee kumvuruga CEO mwisho wa siku akahama yeye ,Manara mpaka Sasa haamini kama yeye ni Yanga ni kama ndoto
Dalili kuwa keshaishiwa tayari!! Mkataba ulikuwepo. Kuna mkataba wa mdomo! Ungekutana na manara ukamwuliza unategemea kupata sh ngapi mwisho wa mwezi bila shaka angekjpa jibu!!! Alikuwa na mkataba wa mdomo wa dei waka!! Ila mwajiri anamtunzia kkla siku na kumpatia mwisho wa mwezi!! Manara alikuwa dei waka na aliridnika kuwa dei waka!! Dei waka hana hifadhi ya jamii!!Msemaji wa Dar es Salaam Young Africans HAJI SUNDAY MANARA amekaririwa na vyombo vya habari akisema ya kuwa anaenda MAHAKAMANI kuishtaki Simba kwa kosa la kumfanyisha kazi kwa miaka mingi bila kumpatia mkataba.
Vilevile kosa Hilo ni sambamba na kutomwekea pesa zake katika mfuko wa hifadhi za jamii.
My take: Akiachwa ACHIKA ,ukishikwa SHIKAMANA
Ulimwandikia barua nia ya kumpa mkataba nar akakujibu kwa barua kwamba hataki.Hapo ndiyo utaijua vizuri sheria.Kazi ipo usijibu kirahisi hivyo ndgAlikataa kusign mkataba ,hapo anapiga tu kelele anaropoka tu na kujichanganya
Milioni 300,000/=? , (300,000,000,000/= ie 3000bn?)700,000/= alizipokea kwa mkataba gani? Na alisema anafanya kazi kwa mapenzi na club, vipi leo adai mkataba!!! . Na aliisha wahi kusema kuwa yeye hana matatizo na Simba ila tu wagomvi wake ni Barbara na Mo na hasa pale alipotishia kutoa siri zao.
Mkataba wa 4,000,000/= aliktaa kusaini kutokana na maslahi yake mengine na kama angesaini mkataba huo angewalipa Azam million 300,000/=, sasa Simba anaishitaki kwa kitu gani? BIG TIME LOOSER.
Kweli huu MSUKULE WA UTOPOLO umechanganyikiwa.
Simba ana mafanikio gani kwenye club bingwa?Mafanikio ya Simba hasa club bingwa ndio yamempa umaarufu,leo hii angefanya mkutano Serena Hotel na kutoa kauli mbiu zake,sasa hayupo na utopolo atopolo ataongea nini ili awe kwenye chat
Au alikuwa anajitolea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kibarua hapewi mkataba wala hawekewi fedha NSSF. Kwa lugha nyepesi, hayupo katika kumbukumbu za waliowahi kuwa waajiriwa wa Simba
Sheria ipiKisheria hii Simba itakula kwao.
Sheria ya kazi. Hapa wengi mnaongea kishabiki, ila kisheria hii ni ishu kubwa.Sheria ipi
Sheria ya kazi. Hapa wengi mnaongea kishabiki, ila kisheria hii ni ishu kubwa.
Shabiki wakati ushahidi upo wazi kote kwamba alikuwa msemaji wa simba! Unafikiri mahakama itaelewa kuwa alikataa mkataba?Huu ni ujinga mkubwa,shabiki alipwe pesa?
Alipewa mkataba akaukataa,halafu leo aende mahakamani kwa kunyimwa mkataba upi?
Mkuu sheria za kazi zinasema uwe ndani ya 30 days baada ya tatizo kutokea au ufanye application ya condonation na uwe na valid reasons za kufanya hiyo condonationSheria ya kazi. Hapa wengi mnaongea kishabiki, ila kisheria hii ni ishu kubwa.